Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mbona wasichukulie Tanga?
Tanga bado haina kila kitu ep. Flight connection kati ya Kampala na Tanga! Bandari inahitaji upanuzi zaidi, the good thing terminal kubwa ya mafuta Africa inajengwa pale na mradi wa EACOP! Na kuna mpango zaidi ya kuongeza gati! Tunahitaji Berths za kama 3 mpaka 4 tuwe na berths za urefu wa at least 1 km!
 
Mnayamwezi mwingine huyo hapo, anajenga villas Zanzibar, kahamishia familia yake yote hapo Zanzibar. Sasahivi anaingia kwenye kilimo huko songea na Mambo yanaenda.

Wale wa niggaz from the hood hatuwataki huku, kina Hoffman ata nauli ya kuja huku anaomba wafuasi wake wamchangie 🤣🤣🤣


View: https://www.instagram.com/reel/C-AqeJWsIgv/?igsh=YzljYTk1ODg3Zg==
 
Tunafukuza mwizi kimya kimya

1723819731903.png
 
Anadanganya kuwa kenya hakuna old cars...mimi point yangu iko hapo.

Nilikuwa kenya last month. Nimeona old cars kibao tena nyingi probox
Nafikfiri hakuelezea vizuri tuu, nilivyomuelewa ni kuwa Kenya hawasajili magari ya zamani (zaidi ya miaka 8). ndiyo maana wana magari mengi ya zamani (kama ulivyosema). Kwa kuwa ni wachache wenye uwezo wa kununua magari mapya.
 
Nafikfiri hakuelezea vizuri tuu, nilivyomuelewa ni kuwa Kenya hawasajili magari ya zamani (zaidi ya mika 8). ndiyo maana wanamagari mengi ya zamani (kama ulivyosema) kwa kuwa ni wachache wenyeuwezo wa kununua magari mapya.
Kuna nchi inaimport magari nyingi ukanda huu kuzidi Kenya?
 
Mbona hatuyaoni hayo magari sasa, ichoboy yupo huko na mpaka sasa hatujaona gari mpya hata moja zaidi ya kuona probox tu, wacheni ku fake maisha nyie fukara.
Watchman tuletee data ya imported vehicles between these two countries?
 
Back
Top Bottom