Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kuna nchi inaimport magari nyingi ukanda huu kuzidi Kenya?
Kijana hesabu zinapigwa very simple.

Current Plate number series ya Kenya ni D, Yaani KDQ --- A

Tanzania Current Plate number series ni E Yaani T--- EQA

In Permutation Mathematics zote zinakuwa na series inayofanana.
K is Constant for Kenya and T is Constant for Tanzania. --- ni number tatu.

Unataka tufanye Permutation uone wapi kuna magari mengi mpaka sasa?
 
Wewe ni King'ang'anizi. Usitake tufanane. Nyie endeleeni na slums sisi tupo na dunia yetu. Tanzania ipo East Africa kimakosa. 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
Dunia yenu mnayojivumia ndio hii hapa. Umaskini tupu
Screenshot_20240813-173055.png
Screenshot_20240813-172931.png
Screenshot_20240813-173435.png
Screenshot_20240813-173851.png

Alafu Cha asabu ni kwamba zaidi ya nusu ya Dar inafanana hivyo.
Show me Google earth images of Nairobi that captures several places in Nairobi looking like that
 
Dunia yenu mnayojivumia ndio hii hapa. Umaskini tupu
View attachment 3071859View attachment 3071860View attachment 3071861View attachment 3071863
Alafu Cha asabu ni kwamba zaidi ya nusu ya Dar inafanana hivyo.
Show me Google earth images of Nairobi that captures several places in Nairobi looking like that
Tunakubali Dar sehemu nyingi hazijajengwa kimipango miji.
Ila haimaanishi kuna nyumba mbaya.
Tembea hayo maeneo tukileta picha kwa ground utaona nyumba nzuri sana za hadhi.
Hutoona nyumba za MABATI YENYE KUTU kama Kenya.
 
Kuna nchi inaimport magari nyingi ukanda huu kuzidi Kenya?
Ati mna mining projects zipi hizo ku-import magari kuliko Tanzania yenye 3 phases currently U/C! Hata mabasi hamtufikii ukinionyesha importation ya 300 buses kama za TPDF nahama huku! Pia hata basi za safari za mikoani hamtufikii! Hapo bado private vehicles! Juzi Nanenane tractor zaidi ya 5000 wamekopeshwa Wakulima hapo usisahau magari ya Watendaji halmashauri! Ficha ukundu!


View: https://x.com/TBoundBuses/status/1823691998408134901


View: https://youtu.be/68va--sCaJg?feature=shared


View: https://youtu.be/deCjdS8zoyg?si=VbQr4xa2J2jHpPZv


View: https://youtu.be/7TACRM2F7wk?si=dHb9NA79Zulv7vhl


View: https://youtu.be/UjofBeRllXc?si=aCff--weVPhq0C3K
 
Ati mna mining projects zipi hizo ku-import magari kuliko Tanzania yenye 3 phases currently U/C! Hata mabasi hamtufikii ukinionyesha importation ya 300 buses kama za TPDF nahama huku! Pia hata basi za safari za mikoani hamtufikii! Hapo bado private vehicles! Juzi Nanenane tractor zaidi ya 5000 wamekopeshwa Wakulima hapo usisahau magari ya Watendaji halmashauri! Ficha ukundu!
Niliuliza kilaza mwenzako hili swali akadinda kunijibu. Nawe usidinde kunijibu. Can we share data in imported vehicles in the recent past between Kenya and Tanzania?
 
Ati mna mining projects zipi hizo ku-import magari kuliko Tanzania yenye 3 phases currently U/C! Hata mabasi hamtufikii ukinionyesha importation ya 300 buses kama za TPDF nahama huku! Pia hata basi za safari za mikoani hamtufikii! Hapo bado private vehicles! Juzi Nanenane tractor zaidi ya 5000 wamekopeshwa Wakulima hapo usisahau magari ya Watendaji halmashauri! Ficha ukundu!
In 2022, Kenyan bus builders produced 2,173 buses. How many did Tanzanian producers did in 2022?😂😂🤣🤣
 
Back
Top Bottom