The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,485
- 98,538
JNIA mkuu?Mkuu okt tukutane hapo JKIA
JNIA mkuu?Mkuu okt tukutane hapo JKIA
Hebu nenda bhn we tafuta saizi yako mm nmekutesa miaka mingi iliyopita, sio rika lako mm.Asante for comparing yourself with a second year me. Huyo ndio level yako bwana watchman😂😂🤣🤣.
Now tell us kazi unafanya airport kama sio ya uwatchman😂😂🤣
Fundi mkenya? Mmekwishwaaa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kisumu Conventional Center U/C... View attachment 3070487View attachment 3070486
Wewe humiliki lolote, nikitaka shamba lako naenda ofisi za CCM kesho bulldozer inakutimua 😂😂😂Nov njoo TZ nikuuzie shamba nina eka 10 mkuranga,eka 2 kisopwa fanya uje nikukatie eka 2
Kila mtu anajua humu wewe ni watchman.Hilo ni jina la nicxie, ni mlinzi wa getini na nilimpa hilo jina kitambo, mm nafanya kazi airport na niliweka ushahidi humu, mm sio rika lako.
JNIA mkuu?
Wewe watchman unitese na nini? Hivi ulifungua bank account ama bado unapanga foleni hili ulipwe mshahara kisha unaficha pesa chini ya kitanda?😂😂Wewe mshamba juzi tu hapa nilikuwa nakutesa mpaka unaenda ku download mipesa Google, ulivyo mshamba umenunua simu baada kupata ka mshahara umeanza kupost humu, kipindi kile kisimu chako cha Tecno ulikuwa huwezi hata kubishana kuhusu simu, mshamba sana we jamaa 👇👇View attachment 3070484
Umbo la nyumba sii fundi bali Mbunifu Majengo. Fundi atafanya kile alichoelezwa kufanya. Nikukumbushe majengo yenu bora yamebuniwa na Wakenya?Fundi mkenya? Mmekwishwaaa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Obviously huwezikuwa rika yangu cause one; you are older than me, two you are watchman and I’m not and three I’m monied than you😂😂🤣Hebu nenda bhn we tafuta saizi yako mm nmekutesa miaka mingi iliyopita, sio rika lako mm.
Ebu mulize kazi anafanya kule airport, akikujibu nitag please😂😂🤣Kila mtu anajua humu wewe ni watchman.
hii ni convention Center au ni soko.? 😂😂😂😂Kisumu Conventional Center U/C... View attachment 3070487View attachment 3070486
Ule msaada wa chakula uliusoma unahusu nini!?Si this year tu mlipewa msaada wa chakula na USA😂😂
Stop making noise😂😂🤣🤣Ule msaada wa chakula uliusoma unahusu nini!?
Usipindishe mada kama kawaida yako,ule mchele ulitolewa kwa wanafunzi wa shule ya Dodoma tu sio kwa Tanzania nzima.
Pia Hussein Bashe ameukataa ule msaada na nadhani uliona yeye akikana huo msaada.
Aya tuambie ninyi Kenya vipi mpaka mmewekwa katika list ya kupokea msaada wa chakula na WFP!?
Si unajua nchi ikipokea msaada wa WFP inaashiria nini!?
Mimi huwa ubishani wa kifala siupendagi.
Hiyo ndio ranking yako?😂😂🤣👇👇👇Mimi huwa ubishani wa kifala siupendagi.View attachment 3070502View attachment 3070503View attachment 3070504
Chizi wewe unafkiri watanzania wanaakili kama zenu 😂😂😂😂Vijana wa kenya kule X wako kwa Payroll ya CCM, bado hujajua 😂😂😂