Reborn tkd
JF-Expert Member
- Dec 18, 2020
- 2,068
- 2,188
Ku align pavements na treni kumewashinda 😬Mateso kwa kunyan
Ku align pavements na treni kumewashinda 😬Mateso kwa kunyan
Because expense increased more than the rate revenue increased. AMA hiyo pia huelewi?🤣🤣Soma vizuri hiyo taarifa nzima.
Kama revenue zinaongezeka hadi sasa hivi kwanini mapato ya kodi yanatumika kuendesha hiyo reli!??
Kachukue ratiba ya safari za treni Dar-Moro,Dar-Moro-Dodoma.Umesema 2-3 trains🤣🤣😂
😭😭🍑🍑🍆🍆Yani expenses ziongezeke ilhali mmepunguza mabehewa kwa kupungua kwa abiria!??Because expense increased more than the rate revenue increased. AMA hiyo pia huelewi?🤣🤣
Mtu treni imepunguza mabehewa kwa kupungukiwa na wateja halafu wanakwambia mapato yanaongezeka,licha ya kusema mapato yanaongezeka wanasema reli inaendeshwa na pesa za mapato ya kodi😭😭😭🍆🍆🍑🍑🍑Embu tizama watu wanavyojitia ududu.Kundustan 😀 😀 😀 😀 😀
Mnavyomuona Teargas AKA NairobiWalker (KiberaWalker) ndio behaviors za wakenya 98%
Hawataki kabisa kukubaliana na uhalisia. Kilichobaki ni kuwahurumia tu
Are you really learned? Do you know what routes are? AMA unaongelea trips?🤣🤣🤣Kachukue ratiba ya safari za treni Dar-Moro,Dar-Moro-Dodoma.
Utajua treni moja inapiga route ngapi kulingana na ratiba iliyowekwa ya safari.
Trains 7 za abiria na 3 za mizigo! Halafu kila moja ya abiria inaenda trips4Umesema 2-3 trains🤣🤣😂
Hizo za mizigo ziko wapi? Ebu tuonyeshe🤣🤣😂😂. Hizo Saba pia tuonyeshe🤣🤣😂Trains 7 za abiria na 3 za mizigo! Halafu kila moja ya abiria inaenda trips4
We ni kima uliyelewa mnazi nini!?Are you really learned? Do you know what routes are? AMA unaongelea trips?🤣🤣🤣
Operation ya SGR ndio kwanza imeanza tumeanza na safari ya abiria safari za mizigo zitaanza we tulia usiwe na mshawasha.Hizo za mizigo ziko wapi? Ebu tuonyeshe🤣🤣😂😂. Hizo Saba pia tuonyeshe🤣🤣😂
Your education is wanting. This screenshot wewe ndio ulipost hapa and from it I can clearly see increase in revenue 😂😂👇👇😭😭🍑🍑🍆🍆Yani expenses ziongezeke ilhali mmepunguza mabehewa kwa kupungua kwa abiria!??
Hizo expenses za nini!?
Ndio maana tukisema mnapika data mnakataa.
I wa replying to this. Ama huyu sio mtanzania?🤣🤣😂👇👇Operation ya SGR ndio kwanza imeanza tumeanza na safari ya abiria safari za mizigo zitaanza we tulia usiwe na mshawasha.
Trains 7 za abiria na 3 za mizigo! Halafu kila moja ya abiria inaenda trips4
Nimesoma kote ndio maana nikasema MKIAMBIWA MNAPIKA DATA MSIKATAE.Your education is wanting. This screenshot wewe ndio ulipost hapa and from it I can clearly see increase in revenue 😂😂👇👇
View attachment 3055455View attachment 3055457
😭😭😭🍆🍆🍑🍑😂😂😂😂Is there a problem if I answer the question!?I wa replying to this. Ama huyu sio mtanzania?🤣🤣😂👇👇
Uzuri ni kwamba tunawajua😎😎...Hawataki kabisa kukubaliana na uhalisia. Kilichobaki ni kuwahurumia tu
Wiki haijapita mabehewa ya Kenya yameharibika