Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wakenya wameondokea bongo flava kabisa sikuhizi, katika ngoma 20 zinazotrend YouTube ni moja tu ya uswazi na kisa ni Jason Derulo kashirikiswa. Ukienda tik tok sidhani kuna hata moja 😎
 
lkn ya kwetu ndiyo inaanza kazi kwanza hata nafikiri bado tuko kwenye majaribio wakati treni ya Kenya ina miaka > 5 na full operational …
Don’t expect treni yenu to last that much as Kenyan. Within 2-3yrs mtalemewa kuiendesha na kepea mwarabu the same way you did with your BRT. Or muiuzie Mhindi vile mmeuza bandari ya Dar😂😂🤣
 
SGR phase ya Dar Moro zipo zaidi ya 30
Ziko wapi? Ama hizi?😂😂🤣👇👇

1722156822832.jpeg
 
Don’t expect treni yenu to last that much as Kenyan. Within 2-3yrs mtalemewa kuiendesha na kepea mwarabu the same way you did with your BRT. Or muiuzie Mhindi vile mmeuza bandari ya Dar😂😂🤣
Saivi waarabu dubai washatenga hela za acquisition of Mchongoko for 30 yearso 😬
 
Don’t expect treni yenu to last that much as Kenyan. Within 2-3yrs mtalemewa kuiendesha na kepea mwarabu the same way you did with your BRT. Or muiuzie Mhindi vile mmeuza bandari ya Dar😂😂🤣

Haha hili nalo neno, ngoja tusubiri tuone itakavyokuwa …
 
Hizi daraja ndio vivuko vya waenda kwa miguu,ukiangalia kwa mbali kuna daraja nyingine kama hii,wanaopita huko chini sababu uvivu wao,we shupaza shingo tu while hamna unachojua zaidi ya jealous
Away from stations things are like these😂😂🤣👇👇

1722157535176.jpeg
 
Compare and Contrast. They are still doing manual ticketing, no wonder their stations always look like markets😂😂🤣🤣

Manual Ticketing 🤣🤣😂😂👇👇
IMG_0408.jpeg



Automatic Ticketing. Very efficient, no overcrowding.
IMG_0418.jpeg


IMG_0416.jpeg

IMG_0417.jpeg
IMG_0419.jpeg
 
4,000 Makwapa? Mmeanza kupika data ati 4k passengers per day😂😂🤣🤣👇👇

View attachment 3054830
😂😂😂😂 wewe Kweli ni chizi wewe. Kwenye gazeti ulikopost linaelezawazi kwamba safari moja iliyofanywa that day treni ilibeba watu 900 wengine wakakakosa ticket 🎫 while mimi ninachoeleza ni kwamba train inabeba watu 4k kila siku.. ngoja nikuulize we unajua train yetu Unafanya routes ngapi daily go and return? 😂😂😂 here is our train schedule 👇🏾
IMG_0513.jpeg
 
😂😂😂😂 wewe Kweli ni chizi wewe. Kwenye gazeti ulikopost linaelezawazi kwamba safari moja iliyofanywa that day treni ilibeba watu 900 wengine wakakakosa ticket 🎫 while mimi ninachoeleza ni kwamba train inabeba watu 4k kila siku.. ngoja nikuulize we unajua train yetu Unafanya routes ngapi daily go and return? 😂😂😂 here is our train schedule 👇🏾View attachment 3054886
Read through this article very well na uone vile mnapika data😂😂🤣🤣👇👇

IMG_0413.png
 
Back
Top Bottom