Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Haiti tunaendelea kupokea matokeo mazuri, big Nations ishakua world police 👮
IMG_20240727_174542.jpg
 
Unajua wakati mwingine ninyi wakenya mnakuwa kama mataahira, hivi kabla ya kupost huwa unajiuliza kweli? Sisi watanzania tumeshaonesha kwamba tunaakili kubwa kuliko ninyi wakenya, hivi ushajiuliza kwnn hili eneo ni kubwa na lipo cleared like this? 👇👇View attachment 3053866
Ni kwamba hapo inawekwa reli. Lakini sio tu treni mbili at a go, bali zitakuwa tatu kwa wakati mmoja, nyingine itapita nje, hii hapa 👇 👇 View attachment 3053867
Sisi tuna akili kubwa kuliko ninyi wakenya.
Your trains can’t operate kwa at the same within the same station🤣🤣😂😂. Ebu tuambie loading train itasimama wapi and offloading itasimama wapi?
 
Watanzania wanajua wenye wanapika data kumbe hao ndio gwiji🤣🤣😂😂.

Let’s take this article for example. The train carried 900 passengers on 14 coaches and all the coaches were full🤣🤣😂😂

IMG_0413.png
 
Wanasifia services Kumbe ni siturungi ndio wanapewa. Alafu hii ni Royal, I wonder what economy people get🤣😂👇👇

1722102223382.jpeg
 
Back
Top Bottom