Teargas
JF-Expert Member
- Mar 28, 2021
- 21,849
- 24,773
Nawapea Mabongolala humu challenge. Nionyesheni malls kwa hii miji.Tofauti na Dar, Mwanza na Arusha I’m 100% sure other areas in Tanzania hata hawajui what malls are. Hata hawajaiskia the word “mall”.
Hiyo naKumbe karudi bana. Hii mada haiongelei tena
Ingia Google search donate toilets kenya Kisha rudi hapa. 😂😂😂
![]()
Clean Composting Toilets at Kisola PS!
This project will create a bank of Composting Toilets at Kisola Primary School. Your donation will provide clean and safe sanitation for 200 students. Clean sanitation is a challenge for rural Kenyan schools. Composting toilets are hygienic, smell and fly-free, and safe for students to use...www.globalgiving.org
Seem we kijana una argument za kitoto, why usiwe unasoma vizuri uliowataja kwenye list moja nae.
Mtanzania anajua nini kuhusu trophies?😂😂Mark ya nyoko where is trophy na jiangalie vizuri kumuweka kwenye argument ya mdada kisa kaingia brighton kama si ufala.
I mentioned Matic. Didn’t I?Seem we kijana una argument za kitoto, why usiwe unasoma vizuri uliowataja kwenye list moja nae.
Wivu peleka mbali😂😂👇👇Seem we kijana una argument za kitoto, why usiwe unasoma vizuri uliowataja kwenye list moja nae.
Matic usifananishe na huyo matako wako wa kikenya.I mentioned Matic. Didn’t I?
Remember a street was once named after Wanyama in Tanzania 😂😂Mark ya nyoko where is trophy na jiangalie vizuri kumuweka kwenye argument ya mdada kisa kaingia brighton kama si ufala.
Peleka wivu mbali😂😂👇Matic usifananishe na huyo matako wako wa kikenya.
Kumbe ni maoni ya mtu mmoja!?
Spurs fans au siyo!?Peleka wivu mbali😂😂👇
View attachment 3045781
Kuna mtanzania anajulikana hivo Europe vile Wanyama na Origi wanajulikana?😂😂Kumbe ni maoni ya mtu mmoja!?
Ni sawa na Alex Ferguson alivyodhani Ronaldo ni bora kuliko Messi kumbe sio ukweli.
Tulete takwimu hapa za magoli na makombe baina ya Wanyama na Matic!?
Kwani ulitaka wawe Yanga fans?Spurs fans au siyo!?
Hivi hapa vikombe vya Matic alivyoshinda.Kwani ulitaka wawe Yanga fans?
Matic ni mtanzania?😂😂😂😆😆Hivi hapa vikombe vya Matic alivyoshinda.
Nakuja magoli na assist.
View attachment 3045792View attachment 3045793
Samatta kacheza EPL na anajulikana pia.Kuna mtanzania anajulikana hivo Europe vile Wanyama na Origi wanajulikana?😂😂