Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

😂😂😂😂😂😂
20240626_165206.jpg
 
Mkuu ulichongea ni fact sana.
Kivuko nyuma ya gongolamboto sokoni ni hiki ?
View attachment 3026591

View attachment 3026592

Sasa hiki kivuko mvua kikonyesha maji yanajaa hapo, hata kupita ni shida.
Ndo maana nilosema kule kwenye uzi wa SGR hawakufikilia kipindi wanajenga.
Afu hilo eneo nilipopiga picha watu wanavuka na kokoto zinatoka, ndipo eneo watu wanapita tangu hata reli haijaanza kujengwa. Ni eneo la moja kwa moja kuunganisha sehemu hizo mbili, sasa pale hakuna kalavati wameenda kuweka mbele yake kule, ambapo mtu anakuwa kama anazungula flani hivi.
Sasa kwa nini wasiweke hapo watu walipozoea kupita siku zote?

Na ndomaana watu wakawa wanaona kazi kuzunguka wakalazimisha kupita hapo hapo.
Shida ni kwamba kipindi wanajenga hawakuangalia kuhusu watu watapita wapi?
Sio apo tu ni sehemu nyingi tuu, hata huko kokoto kutoka zipo sehemu zingine , mimi nimeona.

Afu vivuko havijaendana na watu, utakuta watu wamezoea kupita hapa kivuko wameweka kule.

Mwishowe kwa akili ya wabongo fensi zenyewe na waya , watatobao tuu upande huu na upande ule.
 
Shida ni kwamba kipindi wanajenga hawakuangalia kuhusu watu watapita wapi?
Sio apo tu ni sehemu nyingi tuu, hata huko kokoto kutoka zipo sehemu zingine , mimi nimeona.

Afu vivuko havijaendana na watu, utakuta watu wamezoea kupita hapa kivuko wameweka kule.

Mwishowe kwa akili ya wabongo fensi zenyewe na waya , watatobao tuu upande huu na upande ule.
Tunakusubiri kwenye I'd yako ya siku zote ukimaliza Rudi kule plz😂😂😂😂😂
 
Watanzania bhana tunacheka kenya, wakati sisi wenyewe huku hali ngumu kama nini mpka NSSF wanaenda kuwekeza kule ili kupata faida. Uwekezaji wa majengo.

Maisha ya TZ magumu tuu kama kenya. Au vijana wa humu ni UVCCM
 
Back
Top Bottom