babayao255
JF-Expert Member
- Apr 4, 2019
- 12,904
- 34,903
Pamoja na mafuriko yote lakini hakuna hata kikande cha tuta la SGR kilicho haribiwa na mafuriko lakini cheki yao. 😂😂😂Mvua zipi unazosema wewe, si juzi tu kulikuwa na mafuriko kila kona Tanzania? Pili mradi haujaisha wala kukamilika 100% na tuko kwenye majaribio tukiangalia changamoto hizi na zile. Hatujakabidhiwa mradi na mkandarasi.
Heavy floods sweep away parts of the Multi Billion Standard Gauge Railway (SGR)
Heavy floods swept part of the standard Gauge Railway (SGR) on Sunday, raising serious questions on the quality of the multi billion Kenya shillings project.