π π π π π π π π π π
View: https://x.com/Adele_lide/status/1805623277169045896?t=4RPiF5V9mO-ZJnUXljWffQ&s=19
Leo bunge linaendeshwa from pipeline π€£π€£π€£
π π π π π π π π π π
View: https://x.com/Adele_lide/status/1805623277169045896?t=4RPiF5V9mO-ZJnUXljWffQ&s=19
waogaa sasa wanangoja nn? si wachome moto hilo jengo plus office tower for Wabunge?Dah, aisee nimepitwa...
Kumbe waandamanaji wamengia bungeni?
Du!!
Hii nchi ilishakufa zamani Sana haya ndio madhara ya kudanganya dunia kwamba umeshiba kumbe unakufa njaa π π π πHii ni vyombo vya dola kuzidiwa nguvu ama?
Duh. aisee, hio ni hatari mkuu, kuna watu wtafariki hapo, askari wataanza ku shoot risasi za moto..waogaa sasa wanangoja nn? si wachome moto hilo jengo plus office tower for Wabunge?
Hapo kosa ni vyombo vya dola kutokuweka ulinzi wa kutosha kulizunguka bunge..Hii nchi ilishakufa zamani Sana haya ndio madhara ya kudanganya dunia kwamba umeshiba kumbe unakufa njaa π π π π