ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Na haina 5star hotel so far 😅😅😅😅 haiko modern iko vile vile miaka kwenda miaka kurudi nyumba za tope kila sehemu, harufu ya umaskini kila Kona, ukienda pale mwembe tayar utasema umeingia kwenye kambi ya wakimbiziJamaa ni lipumbavu sana 🤣🤣🤣 hiyo Mombasa haiwezi toboa kwa Zanzibar hata kwa uchawi.