Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kafie mbele msenge wewe
Love from 🇹🇿🇹🇿👉😭🐒
Picsart_24-06-11_09-28-27-863.jpg
 
Kuna black American Fulani alizunguka East Africa sana. Maoni yake yalikuwa kuwa Mwanza is bigger but Kisumu is more developed. Bongolala humu hazikufurahia kabisa.😂😂😂
Ebu post tena hiyo video, ni kama ilinipita😂😂
 
Mnadhani Azam ndiyo ataleta mapinduzi yeye peke yake? Football ni system mzee, sisi tulipambana mpaka kufika hapa tulipo. Msimbebeshe Azam zigo la mavi mnatakiwa mkae muanze upya.
Eti anakwambia bad politics 🤣🤣🤣 wanamiaka 60 ya Uhuru hawana hata Choo cha ofisi ya club ya mpira Achilia mbali ofisi
 
Uchambuzi wa usiku..
Mechi 4, point 5
View attachment 3014878


Mechi 3, point 6
View attachment 3014879
Usiku mwema
Hawa Morroco tutaishi nao watake wasitake, tutawapelekea pumzi ya 🔥 mpaka mwisho maamaee kama wanaenda waende lkn wajue sisi sio Kenya wala Uganda kwamba wataenda kirahisi kama ivory coast, big no, wapambane mana wamepangwa na baba wa EA anayewakilisha ukanda huu kila mwaka kwenye mashindano makubwa.
 
Hawa Morroco tutaishi nao watake wasitake, tutawapelekea pumzi ya 🔥 mpaka mwisho maamaee kama wanaenda waende lkn wajue sisi sio Kenya wala Uganda kwamba wataenda kirahisi kama ivory coast, big no, wapambane mana wamepangwa na baba wa EA anayewakilisha ukanda huu kila mwaka kwenye mashindano makubwa.
Whatever you smoked … is giving you hallucinations..🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom