Hata usihangaike nae, huu ndio mji uliombali kutoka Nairobi kuliko mji wowote unapakana na Ethiopia lakini angalia hauna umeme wala chakula upo hovyo na kila raia anaonekana fukara wa kutupwa
View: https://youtu.be/c_xkmHDmQp0?si=lR2m5x7d_MD9ecVi
Halafu angalia mji ulio mbali zaidi na Dar Kigoma ulivyo mzuri, umeme kila kona huko vijijini, chakula cha kumwaga, mzungu anashangaa mpaka kuna traffic lights 🚦 😁😁😁
Tukiyaambia Tanzania tumeyaacha mbali kwenye miundombinu na social welfare development hayataki
View: https://youtu.be/sIpzkACnoAw?si=x8d2DyJOq_trZ4uP