Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi


Hio sio Maybach, ni badge na kits tu ndio wamebandika. Nimekuambia Maybach hio dirisha ndogo haifunguki na mlango wa nyuma ju gari yenyewe hua refu.

Image



Watch the Z223 2021 Mercedes-Maybach S-Class' automatic closing doors in  action | WapCar


2016 Mercedes-Maybach S-Class S600 - Doors Open - Side | Caricos
 
Hio sio Maybach, ni badge na kits tu ndio wamebandika. Nimekuambia Maybach hio dirisha ndogo haifunguki na mlango wa nyuma ju gari yenyewe hua refu.

Image
Pumbavu wewe 😅😅😅😅😅😅😅😅
Unajitia ujuaji na hakuna kitu unajua

Hio unaongelea ww ni S class model, inaeza kua S680,S650, S600, S450, S400 etc
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 gari inamilikiwa na msanii WA kawaida Sana Tanzania na sio mwanasiasa wao kwao wamezoea mpaka mwanasiasa fisadi ndio anauwezo wakumiki gari Kali, hakuna MTU Mombasa anamiliki gari Kali Zaidi ya joho na familia yake, drug dealers tycoon


View: https://www.instagram.com/reel/C6x1_5JtKiv/?igsh=MXhhMW1rODE4enI5eA==


Pumbavu wewe 😅😅😅😅😅😅😅😅
Unajitia ujuaji na hakuna kitu unajua

Hio unaongelea ww ni S class model, inaeza kua S680,S650, S600, S450, S400 etc
Vijamaa havijui kuhusu magari na vipo busy kubishana na mtaalamu wa hizo kazi. 🤣🤣🤣 Pole kaka kwa kuchalenjiwa na wapumbavu.
 
Imagine hiyo gari ya 2016 ndio gari mpya zaidi Tanzania. Zingine ni between 1990-2000.
Lemme tell you one thing, Tanzanian celebrities are Kings and Queens of clout hata wao wenyewe husema hivo. Kuna wakati some big wig in their entertainment industry alisema kitu wanamuziki wao wameshindia Kenya ni clout. Ushawai jiuliza kwa nini wakianza kuonyesha magari na manyumba humu huwa wanaonyesha ya celebrities? The difference in Kenya is most famous people do not show off like Tanzanians do. You have celebrities like Nameless, Octopizzo, Redsan, Jeff Koinange et al who are obviously rich but no one knows what their house looks like or what cars they drive. Hapo bongo hata mtoto wa chekechea anaijua nyumba ya Harmonize na ukimuonyesha atakwambia hii ni nyumba ya Harmonize. Wewe umeona huyo Juma Jux kununua tu E Class ya 2016 tu inakuwa delivered kwa flat bed masherehe hadi champagne zinafunguliwa. Hilo ni gari lenye utapata mwalimu wa shule ya msingi akimiliki hapa Kenya.🤣 🤣
 
Vijamaa havijui kuhusu magari na vipo busy kubishana na mtaalamu wa hizo kazi. 🤣🤣🤣 Pole kaka kwa kuchalenjiwa na wapumbavu.
Wewe ngoja tukifika place pa kujadiliana kuhusu kukula kwa kibanda na kuomba wanawake pesa tutakuita.
 
Lemme tell you one thing, Tanzanian celebrities are Kings and Queens of clout hata wao wenyewe husema hivo. Kuna wakati some big wig in their entertainment industry alisema kitu wanamuziki wao wameshindia Kenya ni clout. Ushawai jiuliza kwa nini wakianza kuonyesha magari na manyumba humu huwa wanaonyesha ya celebrities? The difference in Kenya is most famous people do not show off like Tanzanians do. You have celebrities like Nameless, Octopizzo, Redsan, Jeff Koinange et al who are obviously rich but no one knows what their house looks like or what cars they drive. Hapo bongo hata mtoto wa chekechea anaijua nyumba ya Harmonize na ukimuonyesha atakwambia hii ni nyumba ya Harmonize. Wewe umeona huyo Juma Jux kununua tu E Class ya 2016 tu inakuwa delivered kwa flat bed masherehe hadi champagne zinafunguliwa. Hilo ni gari lenye utapata mwalimu wa shule ya msingi akimiliki hapa Kenya.🤣 🤣
🤣🤣🤣
 
Vijamaa havijui kuhusu magari na vipo busy kubishana na mtaalamu wa hizo kazi. 🤣🤣🤣 Pole kaka kwa kuchalenjiwa na wapumbavu.
Yani Leo wameona waniletee Yule zwazwa eti abishane na mm 😅😅😅😅😅😅😅

Nimekwambia siku nyingine waniletee MTU anaejua magari sio Yule mbwa

Katoka kwenye magari SASA kaingia kwenye celebrities 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Ulifanya research na ukashindwa kuhua kwamba gari ya Jux ni Mercedes-Benz e class 2023.? View attachment 3012893🤣🤣 hujui kitu kuhusu magari na still unataka kukosoa gari za wenyewe, halafu eti wewe ni engineer 🤣🤣 mpumbavu wewe. Hii hapa
Wee kijana mdogo, kuna kitu kinaitwa model year. Model year ya hili gari ulilopost ni 2016. E-Class zote zilizoundwa between 2016 - 2023 zinaitwa 2016 model. Hakuna E-Class model 2023 hapo. Zote manufactured and sold in 2023 ni model 2016. The latest model ni 2023 first sold in 2024. aAmbalo ulipostiwa awali lipo Kenya. Hilo la Juma Jux ni 2016 model. Nilikukuwarn uwache kuingilia mijadala huelewi hukuskia. Huyo Myemeni mnayeita gwiji wa magari ni mpumbavu anadhani S-Class na Maybach ni same thing.
 
Back
Top Bottom