Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hio ni kampuni ya kichina ilianza kwa fujo hapo muulize SASA hvi Nani ananunua hzo electric bus Kenya πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ‘‡πŸ‘‡
IMG_0266.png
 
Shida sio pesa, shida bado E Buses hazijawa reliable, ndio maana nakuuliza inakwenda how many KMs per charge?
Na ikiisha charge unatumia muda gani inajaa?
Walianza na fujo waulize sasa hviπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ to maintain electric bus sio mchezo mzee ni very very expensive
 
We fala hata hujielewi, DTB, ABSA na Stanchart ziko bongoslum na haziko kwa hio list. Nyinyi maskini hamna pesa. 🀣 🀣
Watanzania Wana prefer zaidi bank za humu humu nchini Tanzania ina banks nyingi Sana zinazomilikiwa na locals πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡ Na ukipata Tu nafunga acc
Hatutaki ufunge accountπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ‘‡πŸ‘‡

Imagine deposits za hizi 500 buses zilishafanywaπŸ˜‚
IMG_0266.png
 
Imagine hizo banks zenu zote zikiunganishwa haziezifikia Equity ama KCBπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Na Tanzania kuna banks nyingi Sana ambazo ni local πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… na kuna ushindani mkubwa Sana kwenye sector ya bank tofaut na kwenu giants ni hao KCB na equity kwisha wengine wote waliobaki ni foreign banks
 
Watanzania Wana prefer zaidi bank za humu humu nchini Tanzania ina banks nyingi Sana zinazomilikiwa na locals πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Maskini hana pesa bana. Unijitetea sana kwa kitu haiko. 🀣 🀣 🀣 🀣
 
Na Tanzania kuna banks nyingi Sana ambazo ni local πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… na kuna ushindani mkubwa Sana kwenye sector ya bank tofaut na kwenu giants ni hao KCB na equity kwisha wengine wote waliobaki ni foreign banks
Us hi Dani gani kubwa na banks mbili pekee ndio imeshikilia 50% of the accounts with Kenyan banks holding 49% of the total accounts in Tz. The remaining 1% is distributed among the remaining local and foreign banks.
 
Mm nihare umesahau nilikwambia mobius hawana hata 50 cars sale ukakimbia πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…

SASA nakwambia ukipata sehemu kauza 100 bus mm nafunga ACC forever
Mobius ulisema sales hazifiki kumi a proved you wrongπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

As for Basigo, I’m here to insert pain into your veins.

IMG_0266.png
 
Maskini hana pesa bana. Unijitetea sana kwa kitu haiko. 🀣 🀣 🀣 🀣
Mm hua sirudii maneno πŸ˜…πŸ˜…πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
Na Tanzania kuna banks nyingi Sana ambazo ni local πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… na kuna ushindani mkubwa Sana kwenye sector ya bank tofaut na kwenu giants ni hao KCB na equity kwisha wengine wote waliobaki ni foreign banks
 
Back
Top Bottom