Dreamliner haidaiwi ni yetu inaweza ikakaa hata miaka 5 hakuna deni lolote litakalo accumulate. Tumeweka Bombardier Dash 8-300 miaka 10 Malta ndio itakuwa Dreamliner miezi 8? Kenya na Tz we are different in many ways usifosi tufanane.Kama kwenda south Korea kwa Siku 5 ACTL imekula hasara ya millioni ksh 80 or tsh 160,
-je jiulize hasara ya kuegesha dreamliner kwa miezi 8(parking fee)
-Gharama ya loss in revenue
, miezi 8 ndege haijabeba hata mtu mmoja
-Gharama za kununua engine mpya kutoka rolls royce
-Gharama ya kuwalipa mafundi
Mtamlaumu bure CAG
😅😅😅😅😅😅
Huyu hata statehouse hakuruhusiwa entrance, kaishia kukutana na katibu kata wa Seoul na kukabithiwa small humanitarian aid, na walivyokua wakijitapa
View attachment 3009103
View: https://x.com/StateHouseKenya/status/1798011851982430586?t=1HDSpC8QlX8iiVdIaDyZQQ&s=19
Karne hii lorry la kubeba viazi linabeba watu Africa ya wapi hii?!!!!!Naislum bila filters and angles ipo kama Bungoma
View attachment 3009088View attachment 3009089View attachment 3009090View attachment 3009091View attachment 3009092View attachment 3009093
📌 tupo tofautinao mno,Dreamliner haidaiwi ni yetu inaweza ikakaa hata miaka 5 hakuna deni lolote litakalo accumulate. Tumeweka Bombardier Dash 8-300 miaka 10 Malta ndio itakuwa Dreamliner miezi 8? Kenya na Tz we are different in many ways usifosi tufanane.
Mpumbavu huyo anaokoteza picha huko kwao anasema Tz. Vi media uchwara vimejaa sana huko ukunyani.We maku TZ atutumii isuzu zenye chases za lori kwa kusafirishia watu
Njaa inamsumbua fala yuleMpumbavu huyo anaokoteza picha huko kwao anasema Tz. Vi media uchwara vimejaa sana huko ukunyani.
Hapo ni jangwani flood prone area tuneshaanza kuweka 600bn shillings to mitigate hilo tatizo na ku redevelop the whoke area.
😁😁😁 Halafu hizo 2.5b ni real sio kama zile za maruhani za Biden 😂😂 anakusainisha milima ya makaratasi just for PR anakudanganya ni multi-billion deals kumbe ni memorandum of understandings 🤣Kuna kile kijamaa kilisema kwamba wao ndio wamba na watatoka na deals za maana kuliko alizotokanazo mama 🤣🤣🤣.. tag then please. Wameishia kupata 400 million dollars, akati mama katoka na 2.5 billion dollars.
Ni huzuni 😁😁Karne hii lorry la kubeba viazi linabeba watu Africa ya wapi hii?!!!!!
Mchele wa mwea 😁😁Pesa za ndani 😅😅😅😅😅View attachment 3009117
Elimu ya uswazistan ni ya kuchekwa,Dreamliner haidaiwi ni yetu inaweza ikakaa hata miaka 5 hakuna deni lolote litakalo accumulate. Tumeweka Bombardier Dash 8-300 miaka 10 Malta ndio itakuwa Dreamliner miezi 8? Kenya na Tz we are different in many ways usifosi tufanane.
Halafu strategic partnership na South Korea ni nchi 3 tuu hapa Africa Tanzania, South Africa na Nigeria.Kuna kile kijamaa kilisema kwamba wao ndio wamba na watatoka na deals za maana kuliko alizotokanazo mama 🤣🤣🤣.. tag then please. Wameishia kupata 400 million dollars, akati mama katoka na 2.5 billion dollars.
In Tanzania ni jambo la kawaida sana.Hela za ndani😅😅😅😅View attachment 3009129View attachment 3009127
Nyie wapumbavu mbona hamjielewi? Sisi tulishasema toka zamani ATCL ni kutoa huduma ili ilete multiplier effect kwenye sector nyingine za uchumi hatutegemei tupate faida kwa airline na hii ilishawahi kuwa discussed extensively bungeni kuwa hatuangalii faida bali tunajikita kwenye kutoa huduma kwa hiyo ni huduma tuu kama huduma nyingine.Elimu ya uswazistan ni ya kuchekwa,
Nenda kasome kuhusu loss of revenue na breaking even point.
Hio ndege ilinunuliwa kwa pesa ($245m) ambayo inatakikana ijirudishe,
Sasa hivi dreamliner haliruki angani, ACTL inakosa revenue ya Ku-break even hio ndege., Ndege limegeuka white elephant
😅😅😅😅😅
Mnapokea mpaka UgandAID 😅😅In Tanzania ni jambo la kawaida sana.
We have
1. Mugabe School
2. Muammar Gaddafi
3. Nelson Mandela
Na kuendelea. Tatizo education system ya kenya is very low.
View attachment 3009147
Deals za Biden kwa Ruto keywords ni assisting, venturing, providing, collaborating 😁😁😁 Halafu mnasema ni multi-billion deals 🤣 au ni English ngumu?Hela za ndani😅😅😅😅View attachment 3009129View attachment 3009127