Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Watanzania hawanashobo na wakenya. 🤣 🤣 🤣 Muuliza maswali anajitahidi kujieleza watu hawamwelewi.
😁😁 Wanaona kisa hapa JF tunajua mpaka chupi zao wanafikiri ni kila mtanzania, hawajui Asilimia kubwa ya watanzania hawajui hata kama kuna nchi inaitwa Kunyaland, mtanzania atakupa Habari nyingi kuhusu developed countries huko lakini Kunyaland hakuna cha kukijua
 
😁😁 Wanaona kisa hapa JF tunajua mpaka chupi zao wanafikiri ni kila mtanzania, hawajui Asilimia kubwa ya watanzania hawajui hata kama kuna nchi inaitwa Kunyaland, mtanzania atakupa Habari nyingi kuhusu developed countries huko lakini Kunyaland hakuna cha kukijua
Yaani nimechecka sana nilipoipitia hiyo video. Muuliza maswali (Ambaye ni mkenya) anajieleza zaidi ya wale anaowauliza maswali. 🤣 🤣 🤣
 
hebu tuletee tuone si ya kutoka Githurai lakini!
1716801735977.jpeg
 
Watoto kutoka Tanzania ni wazuri sana. Wakenya wanawake wanasura za baba zao 🤣🤣🤣🤣

Maryam Female biker From Tanzania

1716801964017.png


1716802066982.png
 
Wanawake wa Tanzania ni wazuri sana. Ndio maana sisi wanaume hapa TZ hatuna makelele.

Jasinta Makwabe from Tanzania. Wakenya mpo?

1716803372794.png


1716803523416.png
 
Back
Top Bottom