kadoda11
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 21,453
- 20,755
jifunze kuandika kiswahili fasaha.kiswahili chako kina matege.[emoji23]Bona mnasema 2na2mia lugha yao..nauko.dunia hamna.lugha yah m2
jifunze kuandika kiswahili fasaha.kiswahili chako kina matege.[emoji23]Bona mnasema 2na2mia lugha yao..nauko.dunia hamna.lugha yah m2
How..comes.unatxt back naunasema ujaelewa....iyo.nikujifanya ..au......Huku wakenya ni wageni, hili ni jukwaa la Tanzania, ni kama vile timu yetu ya sasa hivi ipo Nairobi inashiriki katika mashindano ya CECAFA, inatumia viwanja vya Kenya, huu ni uwanja wa Tanzania, ila tumewakaribisha wakenya, kwahiyo lazima ufuate mila na ustaarabu wa Tanzania, pia lazima utumie kiswahili cha Tanzania ili tukuelewe, usituchanganyie na kisomali humu
[emoji28] anasema mpaka 2020 itakuwa majengo tano ndefu africa.Tuletee tuyaone plz😀😀😀😀😀😀
Kwani.....Kenya.iitambulikii inajua.kiswahili......nyinyi.watz....muna2pima haitosInatusaidia kutambulika kimataifa kwamba tunayo lugha moja tu nchini ya mawasiliano.
Angalia hata kiswahili si yenu,nyie jamaa ni sjui ni wezi!!!!
2020 labda kwenye ndoto 😀😀😀😀[emoji28] anasema mpaka 2020 itakuwa majengo tano ndefu africa.
Just 5 only,mengine yakihesabiwa mpaka minara ya mawasiliano.
[emoji28] ndio maana nikakwambia nyie ni wezi.Kwani.....Kenya.iitambulikii inajua.kiswahili......nyinyi.watz....muna2pima haitos
Nikijua...lugha...fasaha.itanisaidia.nn....jifunze kuandika kiswahili fasaha.kiswahili chako kina matege.[emoji23]
Tunatumia nguvu nyingi sana kukuelewa, wenzako wengi walikua kama wewe, ila walijitahidi kujifunza kiswahili fasaha na sasa hivi wanakaribia kufikia kiswahili cha Tanzania, acha kuwa mkaidi, tumia jukwaa hili kujifunza kiswahili safi bila kulipia tuition feesHow..comes.unatxt back naunasema ujaelewa....iyo.nikujifanya ..au......
Na wanakili juu ya dar kukimbia sana ndani ya kipindi kifupi.sasa hiyo miaka minne sjui tutakuwa na maproject mangapi insite!!!2020 labda kwenye ndoto 😀😀😀😀
Wanachimba mahandaki toka 2014😛😛
haha my friend kwani umeanza kukunywa supu ya albinoKwavile wewe ndio makende yangu😀😀
niletee official link ya gdp ya dar kuzzidi 9bNiletee official link ya GDP ya dar es salaam naisubiri
Haitakusaidia,ila now tunapata hasara unatuharibia lugha yetu kipenzi.Nikijua...lugha...fasaha.itanisaidia.nn....
Wooooi.....100% yah wakenya.wanajua...kiswahili.....labda....c..chenyu......niliwatembelea.watz.....Kule..kwa.vijiji...wajui hata kiswahili[emoji28] ndio maana nikakwambia nyie ni wezi.
English sio yenu ni ya england.
Kiswahili sio yenu ni ya tanzania.
Si mchukue hata kikongo mueke huko,mkue nazo nyingiiii[emoji12].
Embu kuwa serious msee.Wooooi.....100% yah wakenya.wanajua...kiswahili.....labda....c..chenyu......niliwatembelea.watz.....Kule..kwa.vijiji...wajui hata kiswahili
Ndiyo mjue kwamba watanzania wana upeo mkubwa sana wa kuifamu dunia inavyokwenda, hawadanganywi na magazeti na TV za ndani pekee kama walivyo wakenyaSome Tanzanians should just be given a diploma in Kenyan affairs....the obsession is real.
Kiswahili..c.yenyu....ni. Wa.Kenya.wa.Congo na wa.lalas.....pia kidongo waganda.....soo..unajidai na c.yenyu.....Haitakusaidia,ila now tunapata hasara unatuharibia lugha yetu kipenzi.
[emoji28] [emoji28] [emoji28]Kiswahili..c.yenyu....ni. Wa.Kenya.wa.Congo na wa.lalas.....pia kidongo waganda.....soo..unajidai na c.yenyu.....
Wakenya wa pwani wanajua sana Kiswahili, ila ninyi wengine bado sana, hili ni kosa la serikali yenu kutokuwa na mipango mizuri ya kukisambaza kiswahili nchi nzima ili kweli kiwe na hadhi ya kuitwa lugha ya taifa la KenyaWooooi.....100% yah wakenya.wanajua...kiswahili.....labda....c..chenyu......niliwatembelea.watz.....Kule..kwa.vijiji...wajui hata kiswahili
Kama unasema ...waswahili...wamejaaa.coast ya Kenya kushinda Tanzania ?!?[emoji28] [emoji28] [emoji28]
Yenyu=yenu.
Mswahili anapatikana nchi gani kati ya hizo ulizotaja????