Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwa hivo ukisoma Mathematics as a subject shule ya Upili unakuwa Mathematician hadi unajiita gwiji? Based on your idiocy kila mtu Kenya ni Mathematician maanake sote tumesoma Mathematics shule za upili. Ndio maana kila mtu anakuita mjinga humu. Hujielewi.
We don't have upili in our country.
We have
1. Primary Education
2. Secondary Education
3. Vocational Training
4. University Education

Our education standard is International.
 
We don't study only algebra mzee. Jana niliwapatia papers za TZ. Nikawataka mlete za Kenya but. Mkakimbia. Education system ya Kenya is zero. Based on Mana Ngina ideas.
Mmewahi kutoa kiongozi gani mashuhuri hapo Kenya, hiyo Uganda unayosema wewe Rais wao kasoma Tanzania, nikianza ku list idadi ya watu mashuhuri waliosoma Tanzania mtajiona mlivyo na elimu takataka mbele ya education system ya Tanzania.

A president is not a scholar. Hata Idi Amin hakuenda shule na alikuwa president. Anyone who can convince people to vote for him can become president. Tuonesheni scholars wenu ndio mseme mna vyuo bora sio wanasiasa.

Mimi naweza kuonyesha hili jengo ambalo ni jengo bora zaidi hapo bongoland na ambalo mnapenda kujisifu nalo limebuniwa na Mkenya. Nioneshe kipi hapa Kenya chenye kimebuniwa na bongolala.

C067SUDWQAEERWw
 
So auto complete ya my keyboard ndio inakufanya uhahe hivyo.
Educated person discuss cotext. Stupid person check spellings.
Hii yako nayo sii spelling. Hata your grammar is always shit. usidanganyie auto-correct. Alafu ni auto-correct, sii auto-complete. I guess hapo tena utasema ni keyboard.
 
We don't have upili in our country.
We have
1. Primary Education
2. Secondary Education
3. Vocational Training
4. University Education

Our education standard is International.
Kweli wewe ni mjinga.

What is secondary in Kiswahili?😂😂
 
We don't have upili in our country.
We have
1. Primary Education
2. Secondary Education
3. Vocational Training
4. University Education

Our education standard is International.
Kama hujui secondary school kwa Kiswahili ni shule ya Upili bado utaambia watu umesoma. Kiswahili chenyewe ambacho ni the only thing mnajisifu kujua hukijui sasa Mathematics ndio utaelewa?
 
A president is not a scholar. Hata Idi Amin hakuenda shule na alikuwa president. Anyone who can convince people to vote for him can become president. Tuonesheni scholars wenu ndio mseme mna vyuo bora sio wanasiasa.

Mimi naweza kuonyesha hili jengo ambalo ni jengo bora zaidi hapo bongoland na ambalo mnapenda kujisifu nalo limebuniwa na Mkenya. Nioneshe kipi hapa Kenya chenye kimebuniwa na bongolala.

C067SUDWQAEERWw
Their Parliament is also a product of Kenyan education.
 
Cha ajabu ni kwamba Samia alikuwa huko just the other day ila hakuna mkemya alishugulika na ziara yake wala kutaka kujua alienda kufanya nini. Lakini watanzania wanafatilia hii ziara ya Ruto and commenting on every post by Kenyans on the same like their lives depend on it. Desperate beings!!
Sio Sisi tunaohoji ruto kutumia 200m ksh kukodi ndege ni nyinyi wenyewe munaopelekeshwa kama kondoo😂😂

Sisi KAZI yetu ni kuwacheka wazungu weusi


View: https://x.com/danojowa2027/status/1793340686634570143?t=0MFnpd7QrcEXY8fb9nJDJg&s=19

View: https://x.com/ENewsBlogKenya/status/1793156366808576064?t=0Sn5ZUzwoJ-rWBAbGUSuQA&s=19

View: https://x.com/omwambaKE/status/1792633685210005603?t=3fydzQwIc0w__tMjjYfMsw&s=19
 
Brain is a Limitless resource. Unaweza kusoma chochote unachotaka at any age kama wewe siyo mzembe.

Maximize your Potential
Sure, nafahamu watu wengi waliosoma chuo BAC, BPLM nk but sasa hivi wana design mobile apps, website na wapo vizuri kwenye programming languages nyingi tu lakini hawakuwahi kujifunza shule.
Hiki kizazi ambacho unaweza kujifunza chochote online, youtube kwanini usiruhusu ubongo kufahamu vitu vingi!
 
Unashugulika na ya Kenya wakati kwenu hali ni mbaya hata zaidi


Air Tanzania still iko kwenye investment period kwetu wala hatushangai kabisa, bado tunaekeza ndio Kwanza tumefugua airline 2018 lakini ajabu ndio airline inayowanyima usingizi 😂😂😂😂😂😂

Kuna hii dreamliner inaingia mwisho wa mwezi huu👇👇 taarifa unayo lakini
FB_IMG_1716066437990.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom