Kq inamiliki ndege ngapi so far??😅😅😅
Ngoja nikupe list vzr na ukitaka evidence ntakupa
20 aircrafts mumekodi
17 aircrafts ni loan za bank kutoka nje
3 aircrafts owned by KQ
Jumla zilikua 40, hvi SASA zimebaki 36 ambayo katika zile munazo miliki kuna moja ishakua grounded kabisa ndio Ile muliwapa shule,
Hvi SASA out of 20 leased aircrafts zimebaki 16 maana yake 4 mumezirudisha
Alaf kuna zile za bank loan kutoka foreign banks kuna zingine ziko parked sijui zimekufa na ukumbuke katika hasara moja wapi za Kq zinachanguwa na vitu viwili moja ni leased aircrafts na nyingine ni mikopo ya foreigns banks ambazo interest ni kubwa na sometimes munachapwa penalties zakutosha
View attachment 2995744