Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hapo JNHPP imewashwa turbine moja tu
Mixed Energy is sources is very importnant najua tunaelekea kujenga project za hydro tu miaka ijayo pamoja na solar ya shinyanga , ila tusiache gas na haya mabadiliko ya hali ya hewa Ni muhimu kuweka plan ya Kinyerezi 3 and 4 hata kama ni baada ya JNHPP kuisha, kama sa hizi tumepata floods na heavy rain , you never know when drought is coming .

Hata kama Gas sio plan , basi Geothermal
Ongezea na hii hapa:-

Miradi ya Kuzalisha Umeme Iliyopo katika Hatua za Maandalizi (Bajeti 2024/2025 Nishati Ukurasa 125)

1. Mradi wa Kuzalisha Umeme kwa Kutumia Maji ya mto Kikonge–MW 321
2. Mradi wa Kuzalisha Umeme kwa Kutumia Maji wa Ruhudji – MW 358
3. Mradi wa Kuzalisha Umeme kwa Kutumia Maji wa Rumakali – MW 222
4. Mradi wa Kuzalisha Umeme kwa Kutumia Gesi Asilia wa Mtwara - MW 300
5. Mradi wa Kinyerezi III wa Kuzalisha Umeme kwa Kutumia Gesi Asilia MW 600
6. Mradi wa Kuzalisha Umeme kwa Kutumia Upepo Kititimo Mkoani Singida - MW 100
7. Mradi wa Kuzalisha Umeme kwa Kutumia Jua Wilaya ya Manyoni - MW 100
8. Mradi wa Kuzalisha Umeme kwa kutumia Jua - Zuzu Dodoma MW 60
 
And yet you go to Malawi for your soccer matches? What's up with your state of the art stadia?
Yani hizi hasira zote ni sababu ya Ulinzi Stadium? I thought Dandora Stadium iliwaumiza kumbe Ulinzi Stadium ndio imewamaliza kabisa 😂😂
 
Malisaaa!!
When I was posting those pictures I didn’t know ningepata such a heated reactions from these witches 😂😂😂.

They are really hurt😂

I don’t know what will happen to them when Talanta Stadium is complete.
 
Yani hizi hasira zote ni sababu ya Ulinzi Stadium? I thought Dandora Stadium iliwaumiza kumbe Ulinzi Stadium ndio imewamaliza kabisa 😂😂
Check dada zako hawa hapa wameikimbia Kenya na wanapiga kibarua Tanzania 🤣 🤣 🤣 👇 👇 👇

1715098365829.png


1715098412658.png
 
When you see them shouting CAF CAF, just know you've had them.
Three days sasa ninawataka mje na comeback lakini bado mnajisheua tu. Je ume admit kushindwa?

🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 👇 👇 👇 👇 👇 👇 👇

Mega Projects ongoing and their values in Tanzania​

  1. Electric SGR - $10.04B
  2. East African Crude Oil Pipeline (EACOP) - $5B
  3. Julius Nyerere Hydropower - $3.5B
  4. Government City (Dodoma) $4.7B
  5. Tanzania LNG project $42B
  6. Sino Tan Kibaha Industrial Park $3.3B
Total is $68.54B
 
When I was posting those pictures I didn’t know ningepata such a heated reactions from these witches 😂😂😂.

They are really hurt😂

I don’t know what will happen to them when Talanta Stadium is complete.
Watu wanatoka Ulaya wanakuja kucheza Tanzania unadhani ni Mchezo 🤣 🤣 🤣 👇 👇

1715098760174.png


1715098850551.png
 
Azam complex changing room View attachment 2983599sehemu ya mazoezi 👇View attachment 2983600View attachment 2983601 Azam complex swimming pool 👇View attachment 2983602.. Azan complex conference room View attachment 2983603.. Azam complex VAR room View attachment 2983605.. kuna mbwa moja ilituambia kwamba hizi facilities hakuna 🤣🤣🤣 Teargas njoo huku kichaa wewe..
Wapi indoor Arena hapo?
Wapi Aquatic Stadium? And don’t confuse aquatic stadium with a swimming Pool.
Wapi permanent stand in Azam?
Wapi viti kwa stand?
Show us a VIP section?


Azam bado sana, I can only compare that their cowshed na Stadium ya Muranga Seals.
 
Hahaha huwa najiuliza unapata wapi nguvu? As if Marcopolo ni Kampuni ya Kenya manaongea as if Scania ni Kampuni ya Kenya.
They are assmbled in Kenya na ni hizo hizo ndio mnanunua. Tunajua hapo ndio inawauma.

Kenya is the only country in East and Central Africa that has assembly plants for both. Hapo vipi bongolala?
 
🤣 🤣 🤣 🤣
vip-jpeg.2983599
Three days sasa ninawataka mje na comeback lakini bado mnajisheua tu. Je ume admit kushindwa?

🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 👇 👇 👇 👇 👇 👇 👇

Mega Projects ongoing and their values in Tanzania​

  1. Electric SGR - $10.04B
  2. East African Crude Oil Pipeline (EACOP) - $5B
  3. Julius Nyerere Hydropower - $3.5B
  4. Government City (Dodoma) $4.7B
  5. Tanzania LNG project $42B
  6. Sino Tan Kibaha Industrial Park $3.3B
Total is $68.54B
 
Nenda kamuulize Mama Ngina aliyeshindwa kuondoa Kibera Slums since December 12, 1963 🤣 🤣 🤣 🤣
Afadhali sisi tuko na Kibera slum covering a paltry 2.5 square kilometers of Nairobi land. What's the size of your sprawling uswazi hovels that soread from east to west?
 
Back
Top Bottom