Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

N.iliask Mtz mmoja ..bona kukam kuishi..Kenya......ati ..ananishow..ati juu. Yaa pesa.....yah.kenya iko juu..sasa auze mayai for 1 year Alafu arudi tz akabwage...mapesaa..........ma254 c.iyo..niushamba....na slaveless


Wewe jifunze kwanza kuandika ndio utukane wengine.
 
Sawa furahia sasa but the fact remains knh is the biggest followed by moi teaching and referral eldy
Na bado, Magufuli ameizunguka Kenya kutoka kila pande, hamna pa kupumulia, umeona hiyo ripoti ya MVA(Manufacturing value addition), Tanzania 7.7% Kenya ni ya mwisho 3%, na bado subiri utakimbia mwenyewe
Sawa furahia sasa but the fact remains knh is the biggest followed by moi teaching and referral eldy
 
Mtu ako hali maututi mnasema siasa...alikosa hosy tz
Kama rais na familia yake wanatibiwa Muhimbili, who is Lisu?, hapo kwenu hadi governors wanatibiwa nje ya nchi, hakuna anayekwenda katika Public hospital zenu, lakusikitisha hadi Karen Hospital ilishindwa kurekebisha pua ya Issac Rutto, bure kabisa hospital services zenu
Sawa furahia sasa but the fact remains knh is the biggest followed by moi teaching and referral eldy
 
Kinyerezi mbozi road dar
IMG_1326.JPG
IMG_1327.JPG
IMG_1328.JPG
 
Back
Top Bottom