Acha ujinga huwezi ukajenga reli ya 120kph max speed halafu ununue locos zenye speed ya 337kph kadanganye wajinga huko.Tuko na trains mingi and all of them have different speeds. Najua hile speed ya 337km/h bado inakuuma 😂😂
Acha ujinga huwezi ukajenga reli ya 120kph max speed halafu ununue locos zenye speed ya 337kph kadanganye wajinga huko.Tuko na trains mingi and all of them have different speeds. Najua hile speed ya 337km/h bado inakuuma 😂😂
Mwache ajifurahishe kidogo kwasasa wamechanganyikiwa kabisa hawana Amani🤣Acha ujinga huwezi ukajenga reli ya 120kph max speed halafu ununue locos zenye speed ya 337kph kadanganye wajinga huko.
Ndio mimi huwashangaa.Mwache ajifurahishe kidogo kwasasa wamechanganyikiwa kabisa hawana Amani🤣
Ndio maana serikali yenu haiwezi kufanya emergency operations zozote sababu ipo overwhelmed na mtanzania mmoja aliezuru, media houses zote zipo kwa TID slum dwellers wataokolewa na maombiFake life ni hapo Tanzania maanake picha kama hizi hata hamruhusiwi kushare online. Ndio maana 70% of Dar ni slum na mnasema hamna slum.
Na zote hazikuwahi kumaliza safari chini ya 6 hours 😂😂😂Pole kwa hasira😂😂
Unaezachagua moja kati ya hizo speeds ujifurahishe nazo 😂😂
337km/h
200km/h
158km/h
Simple linguistic history ya Africa hujui alafu unataka kujifanya gwiji wa railways?Ndio mimi huwashangaa.
Hivi reli yao ina capability ya kuhimili hiyo speed?
Na sijawahi ona DMU inayopitiliza speed ya 160kmph noooop.
Hakuna DMU ya namna hiyo mazeh.
Pia hata kama wangekua nayo kwanini Nairobi to Mombasa watumie masaa sita?
Wasisahau joka lina uwezo wa kutembea mpaka 200+kmph.
Tena wasubiri litestiwe.
Hukunijibu swali langu kule,nilikuuliza Afrika ina ethnicity ngapi??Simple linguistic history ya Africa hujui alafu unataka kujifanya gwiji wa railways?
Simple English Speakers 😀 😀 😀 😀Simple linguistic history ya Africa hujui alafu unataka kujifanya gwiji wa railways?
Endelea kulia😂😂Acha ujinga huwezi ukajenga reli ya 120kph max speed halafu ununue locos zenye speed ya 337kph kadanganye wajinga huko.
I love your tears😂😂Hiyo treni hapo inatembea reli gani hapo kenya inasapoti hiyo speed?
Yemen kuna SGR?Hii ni train speed meter au bango la matangazo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Unaumia ukiwa wapi?Mwache ajifurahishe kidogo kwasasa wamechanganyikiwa kabisa hawana Amani🤣