Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Huyu dogo sometimes huwa namuonea huruma sana, anawajua Wakenya vizuri kweli huyu? Anyways ngoja tumuache tusimwambie, he is in love akiachwa ataacha😅😅
E0A1BAED-D4BE-4BCD-B31B-B8E573448A33.jpeg
 
You are a failed state pumbavu kabisa nyie, kila siku tunawaambia mnanunua mavitu ya enzi za WW1 mnabisha, mwishowe mpaka Ruto atakuja kuanguka na hayo ma scrapper.
Watu Hawaelewi kwanini taasisi kubwa kama US embassies wanauzaga vitu vyao wakishavitumia kwa miaka mitatu mwisho mitano wanapiga mnada, sasa hawa wananunua matakataka kwa bei ya jioni ili wawe nayo mengi wapate position ya kujiita powerhouse 😂😂😂
 
Kwasababu hizi land cruiser pick-up hua tunazi assemble pale AVA Mombasa, we don't heavily rely on imports.
Nioneshe mulio assemble 2024 🤣🤣🤣🤣🤣

Hvi ww unafkiri watu humu ni wajinga Sana au sio 😂😂😂.

AVA ana assemble gari ngap kwa mwaka niletee mauzo yake hapa, na AVA ana assemble gari kwa order maalum sio kwamba ni official anatambulika labda na Toyota no way
 
Hizi gari zinakua assembled Kenya hata. 😂 😂 😂 Kubali Bongoslum hamna connections.
Image
Leta nembo ya AVA mm nafunga ACC forever unafkiri ku assemble gari ni kama kunyayua kwapa 😂😂😂😂😂😂😂
 
Kenyans let us stop posting until after 21st
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Sikieni hii kondoo SASA
 
Nioneshe mulio assemble 2024 🤣🤣🤣🤣🤣

Hvi ww unafkiri watu humu ni wajinga Sana au sio 😂😂😂.

AVA ana assemble gari ngap kwa mwaka niletee mauzo yake hapa, na AVA ana assemble gari kwa order maalum sio kwamba ni official anatambulika labda na Toyota no way
Toyota Land Cruiser, Toyota Hilux, Toyota Hiace na Toyota Fortuner zote zinakua assembled at AVA Mombasa.


View: https://x.com/anj_116_/status/1687104356364292097
 
Back
Top Bottom