Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

wewe ni mpumbavu ama? kwa hiyo Booking.com na tripadvisor.com si realiable sources? Sioni sababu ya ku-list maana Zanzibar ipo moja duniani na hata baada ya kuweka 5 star hotels za Uongo Ukunyani, bado Znz imewa-mulitiply by 2! Hii maneno ndo imefanya mkose uwezo wa ku-host Afcon 2027 nje ya Nairobi! ni aibu kubwa!
Wewe ni kama hujawai ingia 5* hotel. Wewe ni wale majamaa wa guest house. ratings za Booking.com ni customer rating. Meaning hata wewe ukifungua kihoteli chako uchwara hapo Tandale na ukiweke Booking.com na ukuwe na service nzuri relative to cost utapata 5* rating lakini ni kama wengi wenu humu ni mafukara hamuelewi jinsi hoteli za kifahari zinavyo-operate. Meanwhile, umepewa simple task, list hizo hoteli za Zanzibar, umepoteza muda mwingi ukiandika maparagraph yet list ni kitu cha mara moja tu meaning hata wewe ndani unajua Zanzibar haiwezi fikia Nairobi kwa 5* hotels ila unabisha tu.
 
Meanwhile, Bole Ethiopia… is the best to me . And you won’t see Ethiopians bragging of such beautiful and massive city. View attachment 2960696View attachment 2960697
Mkishashindwa mnaanza kuleta miji ya nchi zingine. Hapa tuko Dar vs Nairobi. Iweje mshinde mkipost mara Luanda, Addis n.k, kama mnataka ligi nao si mseme. Mnapenda kutafuta pa kujificha.
 
Wewe ni kama hujawai ingia 5* hotel. Wewe ni wale majamaa wa guest house. ratings za Booking.com ni customer rating. Meaning hata wewe ukifungua kihoteli chako uchwara hapo Tandale na ukiweke Booking.com na ukuwe na service nzuri relative to cost utapata 5* rating lakini ni kama wengi wenu humu ni mafukara hamuelewi jinsi hoteli za kifahari zinavyo-operate. Meanwhile, umepewa simple task, list hizo hoteli za Zanzibar, umepoteza muda mwingi ukiandika maparagraph yet list ni kitu cha mara moja tu meaning hata wewe ndani unajua Zanzibar haiwezi fikia Nairobi kwa 5* hotels ila unabisha tu.
Mbwa wewe! kuna ratings na kuna hotel categories! Booking.com na tripadvisor.com si level yenyu! sasa funga kishundu hicho hamna lolote mnajua!
 
Tupe list ya 5* hotels wee mzee wa Guesthouse.
screenshot-2024-04-11-145754-png.2960724
Screenshot 2024-04-11 133845.png


VS

screenshot-2024-04-11-150532-png.2960727

Screenshot 2024-04-11 133656.png
 
Ona ulivyo fala,kihistoria toka lini Kenya ikajulikana zaidi ya Tanzania!?
1)Julius Kambarage Nyerere ni miongoni mwa watu mashuhuri duniani na aliingizwa katika hilo jarida 1990s.Je kuna rais wa Kenya aliyeingiza katika jarida la viongozi mashuhuri duniani??
2)Tanzania inajulikana Afrika kama nchi iloongoza kupatia mataifa mengine uhuru.Ndio maana unakuta Tanzania katika masuala ya kidiplomasia inapewa kipaumbele kuliko Kenya,Tulitoa General secretary wa UN Asha Rose Migiro na sasa tuna RAIS WA WABUNGE AMA SPIKA WA BUNGE DUNIANI DR.TULIA AKSON.Je Kenya mmetoa mtu yupi mashuhuri zamani na sasa!?
3)Rais Samia ameingizwa katika list ya wanawake mashuhuri duniani kwa sasa na kote ulimwenguni inafahamika.Je mna mwanamke mashuhuri Kenya ambae kiongozi!?
4)Tanzania kimpira imefanya ijulikane na sasa hivi ina wafuasi wengi mpaka Spain mathalan Mussonda mchezaji wa Yanga aliletewa zawadi kutoka Hispania hivyo inamaanisha NBC PL inatizamwa.Vipi kuhusu ninyi!?
Hayo yanakutosha pambana na hayo kwanza.
Atakuambia kenya inajulikana kisa mbio, alafu mbio zenyewe za mita 100,000🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Mkishashindwa mnaanza kuleta miji ya nchi zingine. Hapa tuko Dar vs Nairobi. Iweje mshinde mkipost mara Luanda, Addis n.k, kama mnataka ligi nao si mseme. Mnapenda kutafuta pa kujificha.
We give credit pale panapostahili. Y that doesn’t change the fact that Nairobi is poor, dirty, smelly, filthy, messy, chaotic and unsafe. Studies prove 60% of Nairobians live in Slums.
Sasa hatuwezi Acha kusifia miji mizuri kama Cape Town au Johannesburg au Alexandria au Rabat sababu they are better than Dar and far better than nairobi ya vinyesi kwa mto nairobi.
 
Back
Top Bottom