Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

This is what u have done for over 18good years ??
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…

Aloo munasafari ndefu Sana Yani nikiangalia render ya konza na huu upupu munaotuonesha hua nataman kulia

View attachment 2958660View attachment 2958661View attachment 2958662View attachment 2958663View attachment 2958664
Kwa wanachoendelea kujenga sasahiv walishaachana na hii render muda mrefu sana. Labda tuwaombe render mpya ya wanachotarijia kukifanya kwasasa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Opening up Rural Tanzania

80m span Kalambo bridge
IMG_20240405_153136_349.jpg
IMG_20240405_154559_152.jpg
IMG_20240405_154818_848.jpg
IMG_20240405_154555_271.jpg
IMG_20240405_152827_424.jpg
IMG_20240405_151434_358.jpg
IMG_20240405_151325_240.jpg
 
Kwa wanachoendelea kujenga sasahiv walishaachana na hii render muda mrefu sana. Labda tuwaombe render mpya ya wanachotarijia kukifanya kwasasa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Hawana mradi wowote serekali yao inajenga just imagine, miradi yote inayoendelea Kenya ni ya wageni πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
Huu upumbavu umeanza lini? Wakati Hanspaul na RSA wana patent!


Unaongelea mambo ya Balala Mimi nakupa proof kwamba aina hizo za tour vans tumekua Nazo mbele yenu
 
Usinichekeshe broo, mmeanza hii body style na Land Cruiser juzi sisi tulizianza miaka zile na Land Rover wakati nyinyi hata hamjui tour vehicle ni nini.

a-land-rover-on-safari-in-the-masai-mara-kenya-africa-C25X7D.jpg
Incase ulikua bado toddler au hujui, haya ndio magari ya watalii Kenya imekua ikitumia kwa miaka na mikaka, modified SUVs ni movements zineanzia Tanzania na zinafanywa locally kama unavyoenda kubadili tairi garage

Mpaka leo bado mnatumia hizi vans lakini pekua Tanzania yote kama utaona kituko kama hiki!

images (79).jpeg
images (80).jpeg
 
Incase ulikua bado toddler au hujui, haya ndio magari ya watalii Kenya imekua ikitumia kwa miaka na mikaka, modified SUVs ni movements zineanzia Tanzania na zinafanywa locally kama unavyoenda kubadili tairi garage

Mpaka leo bado mnatumia hizi vans lakini pekua Tanzania yote kama utaona kituko kama hiki!

View attachment 2958702View attachment 2958703
Haya bado yapo pia. Tumekua tukitumia hiace, Urvan, Land Rover kabla mjue tour vans ni Nini. Land cruiser Nazo tumezianza juzi yet still mbele yenu.
 
Haya bado yapo pia. Tumekua tukitumia hiace, Urvan, Land Rover kabla mjue tour vans ni Nini. Land cruiser Nazo tumezianza juzi yet still mbele yenu.

Magari mengi ya aina hii yaliyopo Kenya yamekua modified Tanzania, ni kawaida kwa gari zote za aina hiyo kuletwa Tanzania kufanyiwa modifications sio Tanzania tu karibu nchi zote zenye NPs central, eastern and southern Africa


View: https://twitter.com/OneTenAuto1/status/1464544212146397187?t=SaV8-NvwwifmCKAjScULYA&s=19


View: https://twitter.com/Lovingson_/status/1219173310392651776?t=7cX8kpGMSvSfcCqAGrmNKg&s=19


View: https://twitter.com/brokenx21/status/1747651518541529556?t=nvsWT7pDcVgx4oNw4KmeGg&s=19
 
Back
Top Bottom