Kule Kundustan Wanadharau Tanzania kila kitu State owned , Eti tunasubiri serikali itujengee (Which is not bad) sisi wananchi tunalipa kodi na lazima tuboreshwere kila kitu.
Cha Kushangaza wanashangilia Foreign state owned projects kwao😂 .Kuna eneo nimeona Documentaries , Kundustan Kuna Chinese state owned companies zinawatoa kimasomaso yaani hadi Chinese Provincial goverment companies zinawakula 😂😂😂 .
Na mtu anapanua mdomo kuhusu serikali ya Tanzania kufanya vitu vingi kwa wananchi wake.
View attachment 2956625
View attachment 2956626