Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mechi iliyoteka hisia za watu dunia nzima.
Screenshot_20240404-220913~2.png
 
Ranking ilitoka jana, you are always behind news.
Kwani nimekataa bob!?
Kwa hiyo wataka kusema wewe huwa unapata kila taarifa on the spot??
Nimesema subirini rank zitatoka tena tofauti na hii"rank hutoka muda baada ya muda".
Kaa kwa kutulia.
 
Umekua wa mama tena, nani mwanzilishi wa Masoko, Stend, Hospital kila mkoa na wilaya?

Mkimpa credit mtapungukiwa nini?
Unaongea kama mjinga mmja hivi.Kabla ya huyo unaedai alikuwa mwanzilishi Nchi hii ilikuwa Haina stendi Wala masoko? Nikutajie? Je masoko and the likes vimekoma kujengwa?

Mwisho tumpe maua yake yapi Sasa Kwa mfano? Alipewa maua yake wakati wake Sasa hivi ni maua ya Samia.

Kazi iendelee Bado hamjasema Hadi mseme 👇👇

904541735.jpg
1314136635.jpg
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Ananiletea majengo ya wachina as if mumejenga nyinyi wapuuzi miradi almost 90% yote ni ya wageni yakwenu iko wapi

Serekali haina hata mradi mmoja kwa ajili ya wananchi wake Yani mpaka stadium munasubiri mchina ajenge kwa hela zake alaf aimiki 100yrs au😆😆😆😆

88nairobi inamilikiwa na mkenya gani🤣🤣
Na sio hio Tu majengo mengi Sana yanamilikiwa na wageni au unataka kubisha nn machizi nyinyi
88Nairobi is owned by Jonathan Jackson, a Kenyan born and raised in Eldoret.

I told you that ukionodoa GTC na Expressway, hayo majengo mengine yanamilikiwa na wakenya ila ukarudi na povu zako za kawaida huku ukipigiwa makofi na vilaza wenzako.

And just to ask, ni uwanja upi huo unaojengwa na kumilikiwa na wazungu for 100 years?

Hapo ndio desperation imekufikisha?
 
In ichoboy's mind, these buildings are owned by Chinese and Europeans, just because they don't have any meaningful development of this magnitude outside of their cbd. Ask him for evidence atakuambia "upende usipende"😂😂😂
images - 2024-04-04T000638.387.jpeg
images - 2024-04-04T000504.892.jpeg
f8432b2d-ded4-4479-be25-76a287cb0c59.jpg
hq720.jpg
images - 2024-04-04T000722.849.jpeg
images - 2024-02-08T222146.659.jpeg
2023-04-20.jpg
images (72).jpeg
e3a5ed1c240e4a8faa7c3503dfa4430e_387749552_1454818338634714_9099578824105438464_n.jpg
1633189547040.jpeg
istockphoto-639383314-612x612.jpg

Pole sana kwa maumivu myemen. Sio kupenda kwako
 

Attachments

  • 2-bedroom-apartment-for-sale-in-kileleshwa-kayum.jpg
    2-bedroom-apartment-for-sale-in-kileleshwa-kayum.jpg
    219.6 KB · Views: 6
In ichoboy's mind, these buildings are owned by Chinese and Europeans, just because they don't have any meaningful development of this magnitude outside of their cbd. Ask him for evidence atakuambia "upende usipende"😂😂😂
View attachment 2954229View attachment 2954230View attachment 2954232View attachment 2954234View attachment 2954237View attachment 2954238View attachment 2954239View attachment 2954240View attachment 2954241View attachment 2954242View attachment 2954243
Pole sana kwa maumivu myemen. Sio kupenda kwako
Kwani DAR CBD ni ipi mkuu according to you.? 😂😂.

Unazijua hizi.?
Upanga
Kariakoo (EA's concrete jungle)
Osterbey
Mikocheni
Masaki
Mbezi beach
 
In ichoboy's mind, these buildings are owned by Chinese and Europeans, just because they don't have any meaningful development of this magnitude outside of their cbd. Ask him for evidence atakuambia "upende usipende"😂😂😂
View attachment 2954229View attachment 2954230View attachment 2954232View attachment 2954234View attachment 2954237View attachment 2954238View attachment 2954239View attachment 2954240View attachment 2954241View attachment 2954242View attachment 2954243
Pole sana kwa maumivu myemen. Sio kupenda kwako
📌📌🔨👇👇

View: https://www.instagram.com/p/C5WhfRvrbpF/?igsh=MXMwZTN1bTcyZjB4Nw==
 
Back
Top Bottom