Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Lake Turkana is a salty lake you idiot. It can’t be used for domestic purposes unless distillation ifanyike.
Si kuna mitambo ya kutakatisha maji?
Tabora kule inafungwa maana visima ukichimba Tabora hutoka maji na madini ya magadi na chumvi ila mitambo ipo inasafisha.
Sasa mnashindwa nini kufanya hivyo??
 
Tunagonga Stats tu. Hatuongei maneno ya wazungu

1712236718328.png
 
Ila nyinyi mnafurahisha empty talkers πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ usichokijua ni kwamba nyinyi ndio mko kwenye downfall , mwaka juzi mlikua wa 101. Sahii mko 107πŸ‘‡View attachment 2953728while sisi ndio tunapanda kila kukicha πŸ‘‡View attachment 2953731.. ukiwa na akili timamu utaweza kung'amua. πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Unadhani ukona point ya maana kumbe ni ufala tu, nani hajui hio drop ilisababishwa na 9 month ban from FIFA. Yani hata after kua banned bado we rank higher than tangagiza.
 
SMB are proposing a 30 floor towers that will comprise of 1,2 and 3 bedroom apartments.

Situated in Westlands, should add to the ever growing number of high-rises in the area and this still shows, Westlands is the preferably the destination for investments in Nairobi. Looks like Upperhill is lugging behind but should be interesting to see what will happen in the future.


ichoboy01 when was the last time Tanzania built a 30 floor building? Another one for Westlands.

img_20231013_150936-jpg.6028789
W


img_20231110_100817-jpg.6191730
 
SMB,are proposing a 30 floor towers that will comprise of 1,2 and 3 bedroom apartments.

Situated in Westlands,should add to the ever growing number of highrises in the area and this still shows,Westlands is the preferably the destination for investments in Nairobi .Looks like Upperhill is lugging behind but should be intresting to see what will happen in the future.


ichoboy01 when was the last time Tanzania built a 30 floor building? Another one for Westlands.

img_20231013_150936-jpg.6028789
W


img_20231110_100817-jpg.6191730


Sasa kwenye majengo hayo kwa pembeni ingekuwa inapita kitu kama hii hapa ndio ingekuwa deadly..

downloadfile.png
 
Timu suku ,Parastatals haziwezi kufanya biashara tena Zenye risks kama kama viwanda mkasema mna maono,haya Kiko wapi πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ‘‡πŸ‘‡

View: https://youtu.be/Yj418tQTEDw?si=A7w6_1qw0C9sYSoX

Mkulazi hasara miaka 4 mfululizo

Kiwanda Cha ngozi Moshi hasara miaka 4 mfululizo.

Na Kwa taarifa yenu tuu vitakufa.

Ushauri.Uzeni haraka sana hivyo viwanda Kwa sekta binafsi Ili muwe na shea tena kiwango kidogo Ili msiingilie private sector kwenye uendeshaji.

Mashirika ya Umma yawekeze kwenye uwekezaji wenye low risks kama majengo au bonds za serikali and the likes.
 
SMB,are proposing a 30 floor towers that will comprise of 1,2 and 3 bedroom apartments.

Situated in Westlands,should add to the ever growing number of highrises in the area and this still shows,Westlands is the preferably the destination for investments in Nairobi .Looks like Upperhill is lugging behind but should be intresting to see what will happen in the future.


ichoboy01 when was the last time Tanzania built a 30 floor building? Another one for Westlands.

img_20231013_150936-jpg.6028789
W


img_20231110_100817-jpg.6191730
Asante kwa render go on 🀣🀣🀣🀣
 
Back
Top Bottom