Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hua wanadanganya eti hizi daladala haziko dar is a slum. πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚

Image
Same pic 2018πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
Screenshots_2024-03-15-23-31-58.png




Same pic 2017πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
Screenshots_2024-03-15-23-35-35.png
 
Hua wanadanganya eti hizi daladala haziko dar is a slum. πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚

Image
Wewe mbona ni okota okota tu mzee.? Kwanza ni nani kasema kama hizi daladala hazipo DAR.? We still have them since hadi leo tuna BRT phase 1 ambayo inafanya kazi, unajua DAR ni kubwa kiasi gani.? Wiliya ya ilala pekee Iko na population ya watu 1.5 million ambapo kila siku inatembelewa na watu almost 2 million kwaajili ya biashara n.k. Kwahyo tunatumia kila aina ya usafiri kufika makazini

BRt buses
Commuter trains
Daladala
Ferries
Taxi πŸš•
Hizo Uber, Farasi, in drive, bolt n.k
Bodaboda
Bajaji

Hizi zote tunatumia kila siku hapa DSM mzee, BRT zinafanya vizuri kwenye njiani zake na kamwe hakuna daladala imewahi itwa kufanya kΓ zi za BRT buses. πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚, DAR Iko stendi mingi mno za daladala than the whole of Kenya.

BRt ni mradi wa kimkakati na ndio sababu kwasasa tunazo 3 phases under construction (phase 2,3 and 4) those phases are under way simultaneously, ili kuondoa daladala mjini kabisa. Kwahyo ujiandae kisaikolojia kwa maana phase 2 na three tunazizundua anytime soon from now. πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Unataka ya 2024 kama hii. πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ‘‡πŸ‘‡ Mbona ulikua unapigwa?


View: https://x.com/AmryThompson/status/1767427186053496893?s=20

Rudi kwenye post yako πŸ€£πŸ€£πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
Hua wanadanganya eti hizi daladala haziko dar is a slum. πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚

Image

Na mm nikujibu hio picha ni ya over 10yrs hata ukikasirika haisaidii🀣🀣

Same pic 2018πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…View attachment 2935733



Same pic 2017πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
View attachment 2935736
 
Tatizo la watu wa nairobi mnapenda sifa.....kumbe mna hali ngumu kiuchumi🀣🀣🀣🀣
Kingereza hakileti hela mfukoni
Since you are new let me introduce you to the facts… We Kenyans accept our country is great but not perfect… we don’t deny our weaknesses as we thrive to make it a better place….. On the other hand.. You Bongos act like your country is the perfect paradise of milk and honey… you twist every problem exposed to denialism or act like it’s not real and it’s our own eyes lying … we call that Blind Patriotism… it’s stupid since it means you live in fantasy world and Lala land … no wonder you remain a third world LDC…. Now let’s watch you become a good blind patriotic boy … proceed….🀣🀣🀣🀣
 
View attachment 2935778

Vingereza vya Wakenya bana, sasa MacDonald's ndiyo mdudu gani?
Free market economics… money follows money… I have never seen you criticize the presence of the few KFC outlets in Dar … so why nitpick MC’Ds?.. unless you had food poisoning while you resided in the Statesβ€¦πŸ˜„
 
Watu wana B hara T lakini usafiri bado ni shida. πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚


View: https://x.com/iDreamfoto/status/1745858277735305273?s=20

weh...kweli these bongolalas can pretend. I am always convinced these shiny pet projects that tz are doing which doesn't make sense are just but a facade but the real problems are very deeply existent and swept under the carpet. But tanzanians are as usual goats who have been taught or indoctrinated not to question or scrutinize. A communist system just like the Pyongyang administration. Most tourists go to tz with high expectations only to be met by the lowest of standards ever seen....that's why they always run to Nairobi or just go back to their countries. case like the black Americans who trooped there in 2020
 
Back
Top Bottom