Kabla ya kifo chake kwanza alienda kwenye ziara mkoani Lindi akaugua akiwa huko baada ya wiki moja machine aliyokuwa nayo kwenye moyo ilionekana haiko sawa na hakuonekana siku kazaa na watu walianza kuhoji yuko wapi coz walizoea kufuatilia kila siku kujua leo atakuwa wapi na atasema nini. I was in Geita region during that period, alienda Chato wakati anarudi alipita eneo nililokuwa (Masumbwe, you can find his last speech) na alikuwa tofauti kabisa na the way we used to know kwenye action zake so we noticed that ni kama alijua he was in his last days. Kipindi anaenda chato haikuwa publicly announced but on his return ilikuwa public ndio alienda Mzena hospital. Kundustan na media za propaganda na wapinzani walianza kuleta uzishi ili wajue yuko wapi na hawakufanikiwa. Try to be smart young boy