😂😂😂😂 ila watuGenerally Kenya has better stadiums than Tanzania.
Afraha Stadium phase One under construction in Nakuru County
View attachment 2925176View attachment 2925177
View attachment 2925178View attachment 2925180View attachment 2925181View attachment 2925183View attachment 2925184View attachment 2925185View attachment 2925186
Kenya wametuacha sana tuache ushabiki…Hiyo expressway ni balaa….mmetisha majirani…kongole kwenu….Sisi huku nilisikia wanataka kujenga ya kulipia kibaha chalinze watu wakalamika humu jamii forums.
Wakati wenzetu wamejenga tena kwa muda mfupi sana na ina option ukitaka kupitia hiyo ya kulipia au upite yenye jamu kazi kwako…ukishika waiyaki road mpaka mombasa road ukiwa unaenda airport dakika sifuri…Hongereni sana.
Tatizo kubwa Nairobi ni ukora wa dereva wa uber hasa kwa wageni yaani wana ukora wa kipuuzi mnooo.
Sio jambo la kawaida maji kukatika Dar... Ndio maana wameweka tangazo kabisa.
Wanarekebisha mabomba ya maji kutoka catchment area Ruvu huko.
Ila kwenu huko kukosa maji ni kawaida ndio maana huko nganya za ku supply maji ni ajira rasmi huko pipelines and slums area
View attachment 2925196
Maelezo yametolewa kuwa kutakuwa na siku mbili za matengenezo. Unalazimisha tufanane 🤣 🤣 🤣 Hilo la maji mjadala umefungwa. Twende huku
Lamamayeee umeona chuchu konz linasukuma majii!?🤣🤣Sio jambo la kawaida maji kukatika Dar... Ndio maana wameweka tangazo kabisa.
Wanarekebisha mabomba ya maji kutoka catchment area Ruvu huko.
Ila kwenu huko kukosa maji ni kawaida ndio maana huko nganya za ku supply maji ni ajira rasmi huko pipelines and slums area
View attachment 2925196
Huu uwanja na wasi wasi unaweza kuwa mali ya mchina. Maana hatujaona sehemu wamekopa. Na unajengwa kwa kasi sana. Nasmini sio mali yao hii 🤣🤣Good Morning Bongostan … Since Nairobiwalker posted the 5 stages of grief… I will help you evolve to the second stage… 🤣🤣🤣🤣
View attachment 2924835
Kumbe we
Maza amebeba maziwa makuu lakin bado anaskuma maji kwa mkokoteni.Sio jambo la kawaida maji kukatika Dar... Ndio maana wameweka tangazo kabisa.
Wanarekebisha mabomba ya maji kutoka catchment area Ruvu huko.
Ila kwenu huko kukosa maji ni kawaida ndio maana huko nganya za ku supply maji ni ajira rasmi huko pipelines and slums area
View attachment 2925196