Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Msevu hizo render mwisho wa siku tutaona nani katoa kitu kama kilivyo kwenye michoro yalammayeeeeeee
 
Msevu hizo render mwisho wa siku tutaona nani katoa kitu kama kilivyo kwenye michoro yalammayeeeeeee
Hata mie nawashangaa sana.
Wana uwanja mmoja tu wa maana Kasarani.
Halafu wanataka kukimbizana na Tz ambao wana Mkapa stadium,Amani stadium na Uhuru stadium.
Hivyo ni viwanja vya serikali ambavyo vipo active KIMATAIFA.
Walete wao viwanja vyao.
 
Nimechoka na wewe. We have fools and we have confident fools. Fools can be taught but confident fools are a lost case. Siku njema brother.
 
Broo, there is a difference between renovation and reconstruction. Mfano, kitakachofanyika Kasarani ni renovation, hapo pitch haitobomolewa unless iharibiwe kibahati mbaya na heavy machinery wakati wa renovation. Hizo viwanja ulivyopost ni pitch pekee, vinaitaji full reconstruction. For those to be called stadiums lazima hizo pitch zibomolewe. Kweli dwanzi ni dwanzi tu. 🚮🚮
Mifano ya reconstruction hii hapa
Camp Nou Barcelona


Amahoro Rwanda


Santiago Barnabue Madrid



Tazama pitch zote zimebomolewa.
 
Kenya uwanja ulio active na pitch nzuri ni Kasarani pekeake.
Natizama FKF league mna viwanja vibovu aisee.
There's no stadium in Tanzania that comes close to Nyayo Stadium.




Aquatic Stadium at Nyayo undergoing renovation



Indoor Arena at Nyayo Stadium



There's no stadium in Tanzania with all those facilities under one building.
 
Msevu hizo render mwisho wa siku tutaona nani katoa kitu kama kilivyo kwenye michoro yalammayeeeeeee
Ukiwaelezea wanakupa majina mara confident fool mara nini.
Ukiwauliza wana viwanja active kimataifa vingapi hawakupi jibu.
Imagine mtu anakwambia Rwanda ndio yenye uwanja wa maana.
Can you imagine that bro!?
Mie natizama FKF league mpaka leo hii hawa jamaa viwanja hawana.
 
Kwa mtizamo wako wewe.
Au hao waliojenga hivyo viwanja hawana akili?
Majaliwa stadium akati inazinduliwa waliojenga hiyo uwanja walisema kabisa kuwa kwa uwazi uliobaki ni kumalizia majukwaa tuu na vyumba vya nguo pasi na pitch kuguswa.
Vivyo hivyo kwa jamhuri Dodoma pale yale majukwaa ni kupigwa paa na kuwekwa viti.
Wakenya mnajikuta wajuaji sana.
Najua tofauti ya reconstruction na renovation.

Tizama mfano wa Jamhuri Dodoma hapo.
 
Mbona unajikanganya??
Hivyo viwanja vya Nou camp na Bernabeu ulifuatilia sababu zao za kuvijenga upya hivyo viwanja??
Sie hatuna sababu ya kujenga upya ila tunatakiwa kujenga majukwaa tu.
 
Umepost huu uwanja ukasifia eti ''renovation inahitajika katika majukwaa,vyumba vya kubadilishia nguo,vyoo na mabenchi ya ufund''.

Hivi hiki ni kiwanja cha kupakapaka rangi na kichezewe Afcon? Wewe wacha nikuache maanake akili yako ni kama sio nzuri vile. 🤣 🤣

 
East Africa uwanja pekee wa mpira ni Mkapa stadium sijaona mwingine.
Hapa tunazungumzia viwanja vya mpira.
Mkapa in not a football stadium but a multiple sports stadium, that's why it has a running track. Talanta will be the only pure football and rugby stadium in East Africa.
 
Mbona unajikanganya??
Hivyo viwanja vya Nou camp na Bernabeu ulifuatilia sababu zao za kuvijenga upya hivyo viwanja??
Sie hatuna sababu ya kujenga upya ila tunatakiwa kujenga majukwaa tu.
Wacha nikuache. Kama alivyosema mwenzangu, a confident fool is a dangerous person. 🤣 🤣
 
Uwanja wenyewe ni artificial tuft. 🤣 🤣
Maybe hiyo ndio kitu kinamfurahisha😄😄😄.

In Kenya every county is building a small stadium with better standards compared to those artificial fields naona huko Tanzania.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…