ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 79,427
- 85,266
Swala sio kuwa na PPRA ,swala ni Je manunuzi mnafanya Kwa mfumo? Kuamzia kutangaza Hadi evaluation ndio concern yangu maana hata matokeo ya shule nyie mbuzi Bado mnabandika kwenye mbao 🤣🤣
Swala sio kuwa na PPRA ,swala ni Je manunuzi mnafanya Kwa mfumo? Kuamzia kutangaza Hadi evaluation ndio concern yangu maana hata matokeo ya shule nyie mbuzi Bado mnabandika kwenye mbao 🤣🤣
Super market zenu hizo.Who is Numbeo?
Watanzania wote ni wajinga.nilishakuambia ukitaka kunijibu fikiri na soma vizuri kabla hujajibu kunguni wewe acha kujaa mihemko.
USA watu wananunua unga ya ng'ano pesa ngapi kwa kilo? Na Tanzania je?Super market zenu hizo.
Kilo moja ya sembe kwenu 75ksh sawa na 1300Tsh sie unga twanunua mpaka 1000tzsh kwa kilo.
Nadhani wapumbavu zaidi hi Hawa hapa 👇👇Watanzania wote ni wajinga.
Ndio mie nawashangaa hawa jamaa.uko turkana unashindana chakula ma mtanzania sisi hatuna ukame na mungu katujalia hilo.
Kwanini wewe jamaa unaishi kwenye dunia yako pekee sana.? 🤣🤣🤣🤣🤣KENYAS COOPERATIVE MOVEMENT IS THE BEST IN AFRICA AND 7TH IN THE WORLD
View attachment 2906864
1 kg ya ngano USA ni 1.35$.USA watu wananunua unga ya ng'ano pesa ngapi kwa kilo? Na Tanzania je?
🤣🤣🤣 Ni "Unga wa Ngano"✅ "Unga ya ng'ano"❌USA watu wananunua unga ya ng'ano pesa ngapi kwa kilo? Na Tanzania je?
Usiwe unasikiliza excuses za ma lazy wa kibera.Ndio mie nawashangaa hawa jamaa.
Ukizungumza nao wanasema oooh we do not have enough arable land.
Wenzao Egypt wameanzisha kilimo cha kisasa cha JANGWANI.
Asa jiulize Kenya na Egypt wapi kuna jangwa kubwa??
Tusiende mbali Dodoma ilikua ni arid land kama Turkana sasa hivi Dodoma inaanza kuwa ya kijani.
Asa najiuliza nchi gani inayojinasibu imeendelea ikashindwa ku recruit alternate technology kupambana na njaa???
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣.🤣🤣🤣 Ni "Unga wa Ngano"✅ "Unga ya ng'ano"❌
Visingizio vyao hazina mantiki.Usiwe unasikiliza excuses za ma lazy wa kibera.
Takwimu za FAO ni kwamba 49% ya Kenya is arable land whichi is over 27,500 Milion hactares of Land.
Hayo ni mavivu ndio maana Yana njaa,kazi kusifia kingereza na Wazungu
Ndio huyo maskini amefika.🤣🤣🤣 Ni "Unga wa Ngano"✅ "Unga ya ng'ano"❌
Ardhi yenye maji chini ipo hakuna haja ya Land Reclamation.Visingizio vyao hazina mantiki.
Hata kama wangekua na 20% arable land wanashindwaje kufanya LAND RECLAMATION??
Kuna article nitaileta ya mji mmoja wa China uliokua jangwa kugeuzwa kuwa mashamba ya zabibu .
Heb tukuone uso wako ulivyo ili tupime uhalisia nani anaonekana yuko na kwashiorkor 🤣🤣🤣🤣 wewe ulisema upo 27 but you look 40 🤣🤣🤣 kama nadanganya post uso wako mbovu tuone hapaNdio maana kila mtu Ako na kwashiorkor Tanzania.
hawakujifunza kwa gadafi hawawezi kujifunza tena hawa majidai ndio yanawaaribu.Ndio mie nawashangaa hawa jamaa.
Ukizungumza nao wanasema oooh we do not have enough arable land.
Wenzao Egypt wameanzisha kilimo cha kisasa cha JANGWANI.
Asa jiulize Kenya na Egypt wapi kuna jangwa kubwa??
Tusiende mbali Dodoma ilikua ni arid land kama Turkana sasa hivi Dodoma inaanza kuwa ya kijani.
Asa najiuliza nchi gani inayojinasibu imeendelea ikashindwa ku recruit alternate technology kupambana na njaa???
Kwahyo hii ndio nini we mnuka mavi.? 🤣🤣🤣