Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Muhogo wa kuchemsa una afya kuliko wa kukaanga.
Pia muhindi wa kuchemsha una afya pia.
Au haujui kama ATP(Adenine thiophosphate) ukiichanganya na calories nyingi huwa inapungua ufanisi mwilini???
Vyakula vya kuchemsha vina afya.
Yes hata kama tukila kutwa mara tatu ila tunaula muhogo kwa njia tofauti.UMEWAHI KULA MUHOGO WA NAZI ULIOUNGWA NA SAMAKI???
Ndio maana kila mtu Ako na kwashiorkor Tanzania.
 
New KFC Branch in Dar

View: https://www.instagram.com/p/C3YAJm8MDuP/?igsh=MXhpOGd0NGwyYzA0ag==

Watakwambia hakuna umeme wawekezaji Hawaii 😆😆😆

Inalaunchiwa na nani? 😂😂😂😂
Inanikumbusha hii
1708161778818.jpeg

1708161806667.jpeg


1708161820851.jpeg
 
Which reli are you talking about?

Your former president died in Kenya so usiniambie anything about Afya.

Kilimo we are ahead of Tanzania.

Garama ya maisha gani unaongelea yet everybody is poor in Tanzania?
MAGUFULI HAKUFIA KENYA USITUDANGANYE.
HIZO PROPAGANDA ZENU HUWA TUNAZIJUA.
MNA KITENGO KIKUBWA CHA MOYO KUSHINDA JKCI??
MNA KITENGO CHA MIFUPA KIKUBWA KUSHINDA MOI??
Reli ya TRC au nikutajie ufanisi wake na utajiri wake na upana wake???
MGR yetu ufanisi wake kuanzia reli mpaka locomotives ni sawa na SGR yenu.
 
Which reli are you talking about?

Your former president died in Kenya so usiniambie anything about Afya.

Kilimo we are ahead of Tanzania.

Garama ya maisha gani unaongelea yet everybody is poor in Tanzania?
Purchasing power parity.
Tanzania kwa tsh 5000 nakula na nashiba chakula cha afya.
Vipi wewe kwa tsh 5000 unaweza ukala ukashiba kenya??
Usafiri rahisi Tanzania,nguo rahisi na hata matibabu rahisi.
Vipi kuhusu Kenya??
Tuanze na bei ya unga.
 
MAGUFULI HAKUFIA KENYA USITUDANGANYE.
HIZO PROPAGANDA ZENU HUWA TUNAZIJUA.
MNA KITENGO KIKUBWA CHA MOYO KUSHINDA JKCI??
MNA KITENGO CHA MIFUPA KIKUBWA KUSHINDA MOI??
Reli ya TRC au nikutajie ufanisi wake na utajiri wake na upana wake???
MGR yetu ufanisi wake kuanzia reli mpaka locomotives ni sawa na SGR yenu.
Continue making noise.

1708162091633.png

1708162179691.png

1708162223611.png
 
Ndio maana kila mtu Ako na kwashiorkor Tanzania.
Nutritional facts.
1)Nazi ina proteins na fats/oils.
2)Nyanya na mboga mboga za kuungia zina vitamins na minerals.
3)Samaki ana proteins na miba ama mifupa yake ina calcium ukiifyonza.
4)Muhogo una carbohydrates na ATP(adenine thiophosphate energy).
Ukishushia na maji ama sharubati ya matunda kwa huo msosi kwashiorkor unapata wapi???
 

Attachments

  • Screenshot_2024-02-17-12-29-20-29_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
    Screenshot_2024-02-17-12-29-20-29_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
    263.6 KB · Views: 9
Purchasing power parity.
Tanzania kwa tsh 5000 nakula na nashiba chakula cha afya.
Vipi wewe kwa tsh 5000 unaweza ukala ukashiba kenya??
Usafiri rahisi Tanzania,nguo rahisi na hata matibabu rahisi.
Vipi kuhusu Kenya??
Tuanze na bei ya unga.
Continue making noise.

Purchasing Power Parity comparison between Kenya and Uchawiland.

Screenshot_20240217-123516_1.jpg
 
It’s alarming how you guys have become desperate. Food? Really? Wtf do y’all think we survive on? Tree leaves? Wtf is wrong with you guys 😂😂😂
Mkitaka kujua kenyan delicacies there are thousands of pages pale IG mnaeza visit

View: https://www.instagram.com/reel/C3cYX6MIEFm/?igsh=MThtbWhud2p3aGEweA==
 
Unaleta vitu tofauti na unavyoulizwa.
Nimekuuliza mna kitengo kikubwa cha moyo kama cha JAKAYA??
MNA KITENGO KIKUBWA CHA MIFUPA KAMA CHA MOI??
Unaniletea masuala ya man power.
Ethiopia wanapata matibabu ya moyo JKCI je una hiyo habari???
Kenya is ahead of Tanzania in Health infrastructure by far. Nimekupea facts na ukipenda unaezaendelea kubishana pekee yako.
 
Kama kawaida yenu mnakimbilia makaratasi.
Nimekuuliza on the ground KENYA UNAWEZA UKALA MILO MITATU KAMILI KWA TSH5000???
Nipe jibu acha kurukaruka kama maharage kwa pressure cooker.
Between you and World Bank who should I believe?

Screenshot_20240217-123516_1.jpg
 
Kenya is ahead of Tanzania in Health infrastructure by far. Nimekupea facts na ukipenda unaezaendelea kubishana pekee yako.
Umeleta man power hukuleta facts.
Nahisi unaanza kudata sindano ishapenya.
Kama manpower ndio inaashiria huduma bora za afya pole.
Hukujibu swali hivyo umeshindwa.
AFRICA UKIONDOA SOUTH AFRICA JKCI NDIO HOSPITALI YA MOYO INAYOHUDUMU WAGONJWA WENGI HASA WA NJE.
Mjadala wa afya nimefunga.
 
Back
Top Bottom