Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wacha nikasirishe watu kidogo.

1.jpg
 
mamako ndio alipeleka 300k ......but even so we still export the highest skilled force to other African countries and all over the world. Most teachers and farmers in Botswana and Namibia are Kenyans.Most farmers in Arusha region are also Kenyans.....we just use proxies. Most academic writers in Africa are also Kenyans....we are jack of all trades
🤣🤣🤣🤣🤣 We jamaa mbona unaishi kwenye Dunia ya mawazo sana.? Kwamba Kenyans ndio wanaongoza kulima in Arusha? 🤣🤣🤣 Umepata wapi hii maneno manzee.?
 
Nyinyi hamtafutiwi na pia hamna ajira nyumbani. Kazi ni tu exportation of beggars and drug traffickers.
Tanzania kuna namna nyingi ya kusaka tonge.
Mie sijaajiriwa ila natengeneza pesa nzuri kukushinda na naishi vizuri kupitia ufugaji wa samaki ,ng'ombe na kilimo .
Ardhi ndio silaha kubwa ya maendeleo Tanzania kitu ambacho Kenya hamuna na hamkielewi.
 
Wakenya washamba kweli. 🤣 🤣 🤣 👇 👇 👇 Mtu yupo na freedom kwenda au kuondoka kwenye nchi

View attachment 2903362
Did you even watch the first video? That’s a Ugandan youtuber who moved to kenya 7 months ago and has stayed in Kenya because his YouTube career skyrocketed in kenya. and in that video he goes to Uganda for a 1 week job only to fly back 😂
 
Back
Top Bottom