Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Niendelee nisiendelee?

1707223854694.png


1707224109538.png
 
Highrises hupatikana tu sehemu tatu Dar nzima;
Posta
Kariakoo
Upanga

Halafu Kuna zile ghorofa tano za Kijitonyama zilizojengwa kando ya barabara moja😆😆
Endelea Baada ya kijito nyama kuna Morocco hujaiweka, kuna Mwenge hujaiweka. Vipi kuhusu Sinza? Oyster Bay vipi? Umewahi kusikia kitu kinaitwa Masaki? Oh Bado hujaongelea Mikocheni mwanangu. Kwanini unajibana sana. Jaribu kuzungukia Maeneo ya Mbezi beach pia utakuja kunishukuru.
 
Ushaanza kupagawa.
Sio wewe ulierusha pic za Amaan stadium ikiwa inajengwa??
Ulisema Mohammed V haina indoor Arena, ndio hio nilikuwekea uone. 😂😂 Mohammed V ikona Football Stadium, Indoor Arena na Aquatic Stadium.
 
Ulisema Mohammed V haina indoor Arena, ndio hio nilikuwekea uone. 😂😂 Mohammed V ikona Football Stadium, Indoor Arena na Aquatic Stadium.
Hiyo sio Muhammed v ww ulileta picha za Amaan stadium.
Ngoja nikuletee picha za Muhammad v stadium
 
Ulisema Mohammed V haina indoor Arena, ndio hio nilikuwekea uone. 😂😂 Mohammed V ikona Football Stadium, Indoor Arena na Aquatic Stadium.
Nionesha indoor arena au aquatic stadium hapo.
Huo ndio muhammad v morrocco.
 

Attachments

  • Screenshot_2024-02-06-16-18-29-24_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
    Screenshot_2024-02-06-16-18-29-24_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
    84 KB · Views: 5
  • Screenshot_2024-02-06-16-18-56-15_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
    Screenshot_2024-02-06-16-18-56-15_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
    37.3 KB · Views: 10
Back
Top Bottom