ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Kama haimaanishi chochote basi waitoeuchumi wa China unakua kwa pole ukilinganisha na Tanzania...sasa hii ina maana Tanzania wako mbele ya China sio? tumia akili ndugu...high growth rate haimaanishi chochote...