Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

USA haifanyi vibaya my friend...ebu fanya 2% of 18 trillion dollars ujionee...
Wewe una matatizo sana, sijui ni shule gani umesoma wewe, sasa kwa sababu 2% ni kubwa kwa hiyo haifanyi vibaya?, hivi unajua budget ya USA kwa mwaka ni kiasi gani?, je hiyo 2% inatosha kuhimili matumizi ya nchi nzima?, unajua deni la taifa la USA limefika kiasi gani hivi sasa?, unajua ni kiasi gani USA inakopa toka China kila mwaka?, hukumbuki uchumi wa marekani kipindi cha Bush ulikuwa katika recession Ubama ndiye amekuja kuufufua?, uchumi wa Marekani haufanyi vizuri hata kidogo, sera ya Trump is to make America great again, why?
 
Wewe una matatizo sana, sijui ni shule gani umesoma wewe, sasa kwa sababu 2% ni kubwa kwa hiyo haifanyi vibaya?, hivi unajua budget ya USA kwa mwaka ni kiasi gani?, je hiyo 2% inatosha kuhimili matumizi ya nchi nzima?, unajua deni la taifa la USA limefika kiasi gani hivi sasa?, unajua ni kiasi gani USA inakopa toka China kila mwaka?, hukumbuki uchumi wa marekani kipindi cha Bush ulikuwa katika recession Ubama ndiye amekuja kuufufua?, uchumi wa Marekani haufanyi vizuri hata kidogo, sera ya Trump is to make America great again, why?
america is already great...sasa unataka kumaanisha kuwa sera ya make america great again ndio confirmation ya kuwa USA inafanya vibaya? yaani sera tu? ww ni punguani wallahi...usiniquote tena...mimi kujadili na mjinga sipendi...yaani hata afadhali ichoboy..
 
ati kwa sababu Trump alisema "Make America great again" ndio inamaanisha kuwa America wapo pabaya...lol! ebu fananisha USA wakati wa Bush na USA wakati wa Obama ndio ujue USA has already improved...
 
Mimi hua nafurahi kuona vile povu lako linavotoka kwa nidhamu:D:D:D:D:D
sawa na hili la China kupanuka kwa 6.7% ilhali Tz inapanuka kwa 7%...Tanzania imewapita wachina sio?:D:D:DBu the way, Tz is now a developed country because it is growing faster than China and USA combined...:p:p
tafadhali si mtukopeshe basi angalau tujenge reli jinsi mlivo developed tanzania:D:D:D
Exim Bank of Tanzania watukopeshe pia tujenge stadium:D:D
Tanzania is largest economy in Africa jinsi inavokua kwa 7%...hata Nigeria haijafikisha 3%:D:D
 
Asante dada jay dee piga pesa tu:D:D:D
IMG_1111.jpg
 
america is already great...sasa unataka kumaanisha kuwa sera ya make america great again ndio confirmation ya kuwa USA inafanya vibaya? yaani sera tu? ww ni punguani wallahi...usiniquote tena...mimi kujadili na mjinga sipendi...yaani hata afadhali ichoboy..
Wewe ni kichaa kabisa wewe, nimekuuliza mambo mengi hapo yanayoonyesha kwamba uchumi wa Marekani haufanyi vizuri, hujajibu hata moja umeamua kukimbilia la mwisho pekee, mimi nina wasiwasi sana na elimu yenu huko, zaidi ya kufundisha kiingereza na ukabila, hamna zaidi mnalojifunza

Sasa nikufunze uweze kufahamu, Trump hakupendezwa kabisa na sera za uchumi za Obama, ambazo zilisababisha USA ikawa inazidiwa sana kibiashara na kiuchumi na China, Kwa miaka kumi mfululizo China ilitawala balance of trade kati yake na USA, hadi makampuni ya USA yakahamia China, serikali ya Marekani ikawa ndiye mkopaji mkubwa wa China, hadi leo Marekani inadaiwa trilions of money na mchina, ndiyo Trump akasema heshima ya Marekani imeshuka sana dhidi ya China, therefore he wants to make America great again,

Wewe kichwa chako ni kitupu kabisa, huna unalojua, ila sikulaumu kwasababu upo Kenya, nchi yenye njaa, huwezi kuwa na akili ya kufahamu yote haya.
 
sawa na hili la China kupanuka kwa 6.7% ilhali Tz inapanuka kwa 7%...Tanzania imewapita wachina sio?:D:D:DBu the way, Tz is now a developed country because it is growing faster than China and USA combined...:p:p
tafadhali si mtukopeshe basi angalau tujenge reli jinsi mlivo developed tanzania:D:D:D
Exim Bank of Tanzania watukopeshe pia tujenge stadium:D:D
Tanzania is largest economy in Africa jinsi inavokua kwa 7%...hata Nigeria haijafikisha 3%:D:D
Economic studies ilikupiga chenga unachoongea wewe nitafauti na mjadala ulivo tuliza akili bro :D:D:D
Ukuaji wa uchumi ni kipimo cha maendeleo ya nchi yalivo na ndio maana nikakwambia uchumi wa kenya umevuka red light huwez kua na uchumi strong alaf debt to GDP ratio 60% haiwezekani na ndio maana ukiangalia muliporomoka from 8% to 5%, huwez kua na strong economy alaf below poverty line ikawa 43.6% never, huwez kua na strong evonomy alaf unemployment rate iwe 40%, ndio maana nilikupa lugha nyepes kua uchumi wa kenya umeshikwa na investors kuanzia ardhi kwenda kilimo mpaka viwanda :D:D:D:D
 
sawa na hili la China kupanuka kwa 6.7% ilhali Tz inapanuka kwa 7%...Tanzania imewapita wachina sio?:D:D:DBu the way, Tz is now a developed country because it is growing faster than China and USA combined...:p:p
tafadhali si mtukopeshe basi angalau tujenge reli jinsi mlivo developed tanzania:D:D:D
Exim Bank of Tanzania watukopeshe pia tujenge stadium:D:D
Tanzania is largest economy in Africa jinsi inavokua kwa 7%...hata Nigeria haijafikisha 3%:D:D
Unaumwa wewe, huna uwezo wa kufanya analysis kubwa kama hizi, kama lishe ni kidogo kutokana na njaa ya muda mrefu kama ya Kenya, watoto wanadumaa ubongo, hivyo sio rahisi kuwa na uwezo wa kufikiria jambo kwa undani, pole sana.
 
Nimekuambia acha matusi, ninafahamu huko kwenu ni watu wa kupigana risasi kila siku, hamjui neno ustaarabu, hii JF inawafundisha sana jinsi ya kuwa wastaarabu.

Nimesema kitu r nacho ni kimoja tu, GDP, the rest Tanzania is ahead of you.
1)Biggest airpot
2)Modern electrical SGR
3)Low poverty level
4)Faster economy growth
5)No food shortage
6)Low inflation rate
7)United and peaceful country
8)Biggest port by 2022
9)Narrow gap between rich and poor

Vs

Kenya
1)Bigger GDP
2)Bigger GDP
3)Bigger GDP

Nimekuambia acha matusi, ninafahamu huko kwenu ni watu wa kupigana risasi kila siku, hamjui neno ustaarabu, hii JF inawafundisha sana jinsi ya kuwa wastaarabu.

Nimesema kitu r nacho ni kimoja tu, GDP, the rest Tanzania is ahead of you.
1)Biggest airpot
2)Modern electrical SGR
3)Low poverty level
4)Faster economy growth
5)No food shortage
6)Low inflation rate
7)United and peaceful country
8)Biggest port by 2022
9)Narrow gap between rich and poor

Vs

Kenya
1)Bigger GDP
2)Bigger GDP
3)Bigger GDP

Tanzania your dreams are valid... Meanwhile you have to wake up coz people are already living your dreams and they are not even satisfied about it...
15876026_348904315496834_4970499526344310784_n.jpg

C2b16WRXAAA8ZJJ.jpg

15803720_221663074908090_3484840239527100416_n.jpg

https://pbs.twimg.com/media/C4ZNIf9WQAAkgMy.jpg
https://kaa.go.ke/wp-content/uploads/2016/04/JKIA-T109.jpg
ter6.jpg

jkia1.jpg

15606569216_65b1089ca3_b.jpg

15627610191_0b70e30d07_b.jpg

Cargo centre
TCC_0347-Copy-1024x567.jpg

12991006_10209482641282563_53979047552470136_n.jpg

28280360892_b24e9c0983_b.jpg

Garage
parking.jpg

JKIA-International-Arrivals.jpg

BuSqR9cIMAEvH_k.jpg:large

Imports delivery
nairobi-flood-barriers-7-jpg.484516
 
Tanzania your dreams are valid... Meanwhile you have to wake up coz people are already living your dreams and they are not even satisfied about it...
15876026_348904315496834_4970499526344310784_n.jpg

C2b16WRXAAA8ZJJ.jpg

15803720_221663074908090_3484840239527100416_n.jpg

https://pbs.twimg.com/media/C4ZNIf9WQAAkgMy.jpg
https://kaa.go.ke/wp-content/uploads/2016/04/JKIA-T109.jpg
ter6.jpg

jkia1.jpg

15606569216_65b1089ca3_b.jpg

15627610191_0b70e30d07_b.jpg

Cargo centre
TCC_0347-Copy-1024x567.jpg

12991006_10209482641282563_53979047552470136_n.jpg

28280360892_b24e9c0983_b.jpg

Garage
parking.jpg

JKIA-International-Arrivals.jpg

BuSqR9cIMAEvH_k.jpg:large

Imports delivery
nairobi-flood-barriers-7-jpg.484516
Are you free from; hunger, poverty, insecurity, slums, big gap between poor and rich, high inflation?, these are basic and important for every person before you think big things like electrical trains which you will never get in our life time.
 
Back
Top Bottom