ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 73,424
- 136,852
Eti bro from 8% to 5% hvi mlikua munafanya ninihizi ni dalili za hasira...
Eti bro from 8% to 5% hvi mlikua munafanya ninihizi ni dalili za hasira...
Hamkupewa chakula cha msaada toka china?hizi ni dalili za hasira...
Below poverty line 43.6 aliweroga kashakufapovu hili
as a country grows, the growth rate diminishes...mfano, uchumi wa USA hivi leo inapanuka kwa asilimia chini ya 2%...tukija kwa SA, Egypt Nigeria mambo ni hayo hayoEti bro from 8% to 5% hvi mlikua munafanya nini
tulipewa...nanyi mliwasamehe albino?Hamkupewa chakula cha msaada toka china?
So long as GDP ni kubwa, kwao umsikini na njaa sio tatizo, hivyo walishavizoea, ni seheme ya maisha yao, ni sehemu ya Kenyan identitiesBelow poverty line 43.6 aliweroga kashakufa
nitaenda kumwona ndugu...tha bulldozerMagu nae atafika apo mjini Nairobi
Hahaha itapendezanitaenda kumwona ndugu...tha bulldozer
Ndiyo sababu USA uchumi wake unakaribia kupitwa na China kwa sababu uchumi wa China unakuwa kwa kasi zaidi ya USA, na hata hizo nchi zingine ulizozitaja, zipo katika matatizo makubwa ya uchumi kutokana na uchumi kutokua kwa kasi, kwahiyo usitolee mfano nchi zinazofanya vibaya ili kujipa matumaini, every country strives to increase rate of its economic growth, so is USA.as a country grows, the growth rate diminishes...mfano, uchumi wa USA hivi leo inapanuka kwa asilimia chini ya 2%...tukija kwa SA, Egypt Nigeria mambo ni hayo hayo
Hio ni fact of 2016 grows wapi ??????as a country grows, the growth rate diminishes...mfano, uchumi wa USA hivi leo inapanuka kwa asilimia chini ya 2%...tukija kwa SA, Egypt Nigeria mambo ni hayo hayo
by the way, ame confirm kweli? bado taarifa sijapata...hivi taarifa za Tanzania zasemaje?Hahaha itapendeza
sijakuelewa...fafanuaHio ni fact of 2016 grows wapi ??????
USA haifanyi vibaya my friend...ebu fanya 2% of 18 trillion dollars ujionee...Ndiyo sababu USA uchumi wake unakaribia kupitwa na China kwa sababu uchumi wa China unakuwa kwa kasi zaidi ya USA, na hata hizo nchi zingine ulizozitaja, zipo katika matatizo makubwa ya uchumi kutokana na uchumi kutokua kwa kasi, kwahiyo usitolee mfano nchi zinazofanya vibaya ili kujipa matumaini, every country strives to increase rate of its economic growth, so is USA.
Sisi huwa kukitokea challenge tunaishughulikia inakwisha, albino killings imebaki katika vitabu vya historia, lakusikitisha ni huko kwenu, tangu mlipopata uhuru, ukabila, rushwa, njaa, poverty, slums, extrajudicial killings, vinaendelea kuongezeka na hakuna dalili ya kupunguatulipewa...nanyi mliwasamehe albino?
Beliw poverty line kenya 2016 is 43.6% nini hujaelewa au mpka nikwambie 43.6 itapendezasijakuelewa...fafanua
Ni official kweli taarifa kutoka kwa msemaji wa ikulu kwamba j4 tar 28 atakuepo kwenye kumuapisha elect- president Hon Uhuru Kenyatta!!by the way, ame confirm kweli? bado taarifa sijapata...hivi taarifa za Tanzania zasemaje?
Robo tatu ya kenya ni jangwaWashakuwa sugu kwa umaskini hao, Gap la walionacho na wasionacho ni kubwa.
Kenya wanaisha kwa njaa na umaskini nchi yao nusu jangwa
ni kwli haipndezi ila uchumi ndio huo bado mkubwa kuliko yenu...mi nakwambia GDP ya Naiobi tu inawza kuwa imeishinda ya Tz nzima..ni data tu nimekosaBeliw poverty line kenya 2016 is 43.6% nini hujaelewa au mpka nikwambie 43.6 itapendeza