Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Unafkiri kufika 6% ni kama kupika makande:D:D:D:D:D kutoka hio 5 mpaka mufike 6 inaeza wachukua 7 yrs
Kenya iligrow na 8% I think it was 2012...:D:D:D kwanza hizo nchi ziko nyuma ndio ziukuwa na high growth rates...waulize kina Ghana na Ivory Coast...thy are growing at 8% wacha hio 7% mnaimba imba hapa
 
punguza hasira ndugu...nimekwambia hata muwe na growth rat ya 10% bado mnakula vumbi:D:D:DKnya sio ligi ynu LDC..:rolleyes::rolleyes:
Nimekuambia acha matusi, ninafahamu huko kwenu ni watu wa kupigana risasi kila siku, hamjui neno ustaarabu, hii JF inawafundisha sana jinsi ya kuwa wastaarabu.

Nimesema kitu r nacho ni kimoja tu, GDP, the rest Tanzania is ahead of you.
1)Biggest airpot
2)Modern electrical SGR
3)Low poverty level
4)Faster economy growth
5)No food shortage
6)Low inflation rate
7)United and peaceful country
8)Biggest port by 2022
9)Narrow gap between rich and poor

Vs

Kenya
1)Bigger GDP
2)Bigger GDP
3)Bigger GDP


pwahahahaha...punguza hasira ndugu...nimekwambia hata muwe na growth rate ya 10% bado mnakula vumbi:D:D:DKenya sio ligi yenu LDC..:rolleyes::rolleyes: a growth of 5.5% but we balling nigga
 
Bongo
IMG_1108.JPG
 
pwahahahaha...punguza hasira ndugu...nimekwambia hata muwe na growth rate ya 10% bado mnakula vumbi:D:D:DKenya sio ligi yenu LDC..:rolleyes::rolleyes: a growth of 5.5% but we balling nigga
Ni kweli kabisa, Kenya ipo kundi moja na Somalia na South Sudan, nchi zote hizi tatu mnaishi kwa kutegemea chakula cha msaada toka UN, mnashindwa hata kujilisha..but GDP without food.
 
Nimekuambia acha matusi, ninafahamu huko kwenu ni watu wa kupigana risasi kila siku, hamjui neno ustaarabu, hii JF inawafundisha sana jinsi ya kuwa wastaarabu.

Nimesema kitu r nacho ni kimoja tu, GDP, the rest Tanzania is ahead of you.
1)Biggest airpot
2)Modern electrical SGR
3)Low poverty level
4)Faster economy growth
5)No food shortage
6)Low inflation rate
7)United and peaceful country
8)Biggest port by 2022
9)Narrow gap between rich and poor

Vs

Kenya
1)Bigger GDP
2)Bigger GDP
3)Bigger GDP

hapo ni peace pekee na haijawasaidia
 
Back
Top Bottom