Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwenye soccer Kuna nini?

Last time I checked, we beat you in AFCON kama burukenge

We are ranked ahead in of you in FIFA rankings

We are the only country in EA with a club holding a Continental title

Our local football clubs have always beaten your local football clubs.

We have participated in more AFCON competitions than you have

We've also won matches in AFCON (one of them against you) wakati nyinyi bado hamjui ushindi AFCON inatataste aje!

We've also sent players to European leagues and one of our own has even lifted the prestigious UEFA Champions League

So if I may ask, what bragging rights do you have over Kenya in matters football?
Hilo kombe unalotambia la Gormahia ni level ya tatu na lishafutwa halina thamani we Mkenya.
Ukitizama historia basi Brazil ingebaki kuwa timu bora duniani.
Sawa mmetuzidi ila hamjasogea mmeganda hapo hapo nafasi ya 110 Tanzania tumetoka nafasi ya 135 mpaka 121.
Tunasogea kaeni kwa kutulia.
Ukisema kuhusu wachezaji hata sisi tuna wachezaji wengi ulaya kwasasa.
Wengine wameshindwa kuja kwasababu ya kukosa uraia pacha.
 
Gor Mahia won the Nelson Mandela Cup (later renamed Africa Cup Winners Cup) in 1987 after beating Esperance of Tunisia in the final


View attachment 2880226
Miaka hiyo wakati Tanzania ikiwa na sanctions
 
Hilo kombe unalotambia la Gormahia ni level ya tatu na lishafutwa halina thamani we Mkenya.
Ukitizama historia basi Brazil ingebaki kuwa timu bora duniani.
Sawa mmetuzidi ila hamjasogea mmeganda hapo hapo nafasi ya 110 Tanzania tumetoka nafasi ya 135 mpaka 121.
Tunasogea kaeni kwa kutulia.
Ukisema kuhusu wachezaji hata sisi tuna wachezaji wengi ulaya kwasasa.
Wengine wameshindwa kuja kwasababu ya kukosa uraia pacha.
I can see we are heading somewhere. Wewe sio mbishi kama wengi wenu hapa. At least umekubali kwamba kwa sasa we are ahead of you in football. Heshima basi idumu hadi ile siku mtatupiku if at all it will happen in our lifetime.

Have a good day!
 
Hawa kondoo ni mashindano gani ya kimataifa timu zao za mpira zinashiriki?
Hili swali mbona halijibiwi! 😂😂😂
Hazishiriki because of the FIFA ban. Is your question answered ama bado unauguza majeraha kutoka Lusaka na Rabat?
 
I can see we are heading somewhere. Wewe sio mbishi kama wengi wenu hapa. At least umekubali kwamba kwa sasa we are ahead of you in football. Heshima basi idumu hadi ile siku mtatupiku if at all it will happen in our lifetime.

Have a good day!
It will happen do not worry is just the matter of time.
We do climb too fast to the top of other numbers.
Piga mahesabu toka nafasi ya 135 mpaka 121 utajipa jibu.
 
nyinyi ni kushiriki tu milele..yaani kusindikizana tu
Hata club bingwa tukawa tunasindikiza mwishowe tukawa tunafika mpaka fainali.
Na hata Afcon tutafika mbali,tulikotoka kubovu kuliko tunakokwenda we are evolving kijana.
 
It will happen do not worry is just the matter of time.
We do climb too fast to the top of other numbers.
Piga mahesabu toka nafasi ya 135 mpaka 121 utajipa jibu.
Tel
It will happen do not worry is just the matter of time.
We do climb too fast to the top of other numbers.
Piga mahesabu toka nafasi ya 135 mpaka 121 utajipa jibu.
Tell me, mara ya mwisho Tanzania kuwa ranked ahead of Kenya ilikuwa mwaka gani?
 
Back
Top Bottom