Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

trend20-13.jpg
 
Hii Hospitali ni yakisasa zaidi kusini mwa sahara ukiondoa Afrika ya kusini, is the most modern with state of the art technology and equipments in southern of Sahara out of South Africa, go.. go..go.. Tanzania
its modern in bongo...many of tzs rich guys oftenly seek medication in nairobi
 
50b ni budget ya TZ
With a 45bn US economy.
Halafu thet are playing dumb here wakisema their economy is growing at 7% while Kenya's is growing at 5.5pc.
Technically, Kenya's economic growth rate is higher than Tanzania's considering Kenya's GDP is higher, so when you do the 7% of $45bn you will realise that it's way lower than 5.5% of $75bn.
 
With a 45bn US economy.
Halafu thet are playing dumb here wakisema their economy is growing at 7% while Kenya's is growing at 5.5pc.
Technically, Kenya's economic growth rate is higher than Tanzania's considering Kenya's GDP is higher, so when you do the 7% of $45bn you will realise that it's way lower than 5.5% of $75bn.

Huu sasa unaitwa utukunyema. Budget ya sasa ni 31.71 trillion shillings ($14.21 billion). sasa hicho ki 50bksh ni sawa $480Million.
Sasa huo hapo utakuwa ni ujinga sasa.
 
its modern in bongo...many of tzs rich guys oftenly seek medication in nairobi
Subutu, njoo Dar uwaone wenzenu wakenya walivyojazana ocean Road Cancer institute wanavyotibiwa cancer, by the way hiyo cancer institute ya Ocean road ndiyo kubwa na ya kisasa kuliko zote katika ukanda huu, kama mnayo Kenya lete tulinganishe.

Jakaya Kikwete cardiac Institute ndiyo kubwa na yakisasa zaidi kuliko zote kusini mwa jangwa la sahara ukitoa South Africa na Namibia, wakenya wamejazana hapo wanasubiri operation za moyo bila kufungua kifua, Tanzania ni nchi pekee katika ukanda huu ambayo wagonjwa wote wa Moyo wanatibiwa nchini, na sasa hivi tunatibu wagonjwa wa nchi jirani ikiwemo Kenya, ukitaka ushahidi tutakupa..Kenya is old story my friend..
 
Subutu, njoo Dar uwaone wenzenu wakenya walivyojazana ocean Road Cancer institute wanavyotibiwa cancer, by the way hiyo cancer institute ya Ocean road ndiyo kubwa na ya kisasa kuliko zote katika ukanda huu, kama mnayo Kenya lete tulinganishe.

Jakaya Kikwete cardiac Institute ndiyo kubwa na yakisasa zaidi kuliko zote kusini mwa jangwa la sahara ukitoa South Africa na Namibia, wakenya wamejazana hapo wanasubiri operation za moyo bila kufungua kifua, Tanzania ni nchi pekee katika ukanda huu ambayo wagonjwa wote wa Moyo wanatibiwa nchini, na sasa hivi tunatibu wagonjwa wa nchi jirani ikiwemo Kenya, ukitaka ushahidi tutakupa..Kenya is old story my friend..
Mwabie apitie hapa

ORCI – Ocean Road Cancer Institute
 
COLLOH, pitia hii link ujionee vimbwanga, ninamtafutia link ya MOI nayo pia aione, wakenya hawaijui.vizuri Tanzania, sisi sio watu wa kupiga kelele, tunafanya kimya kimya...kwenye upande wa specialized Hospitals, Kenya umeachwa mbali sana na Tanzania, hii inayofunguliwa keshokutwa ndiyo itawamaliza kabisa,
 
Back
Top Bottom