Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Alafu We jamaa unaonekana unaichukulia Tandale kama Kibera eeh!

Kwa Taarifa yako Tandale ni Nzuri kuliko kibera yenu, na unajua kua Tandale inajengwa shell nyingi, na hizo shell za Tandale bei ya mafuta ipo chini ya proposed, Wameiboost Tandale, Acha kukariri sana, Au tukupe tiketi uje kutembelea Tandale?
Of course Tandale ni nzuri. Dreamhouses kila mahali
Screenshot_20231121-202725.jpg
Screenshot_20231121-202705.jpg
 
Dubai ni 100% jangwa na kwao mvua kama hzo zinanyesha once in 25yrs , mombasa sio jangwa tena iko near ocean tulitegemea makubwa snaa kwann maji yamezamisha mji wote 🤣🤣🤣🤣

Hebu nishawishi kidogo nikuelewe😅😅😅😅
Once in 25 years? Kwamba mara ya mwisho Dubai kuona mvua ni 1998? Wewe unahitaji maombi
 
Toa tongotongo serikali ya Tanzania haijawahi ku-own TIPER 100% bali kwa ubia! Sasa uache kuropoka ujuha! Kila kitu kipo online na matumizi ya 1980s si ya 2023!

Toa tongotongo serikali ya Tanzania haijawahi ku-own TIPER 100% bali kwa ubia! Sasa uache kuropoka ujuha! Kila kitu kipo online na matumizi ya 1980s si ya 2023!
We mzee unajua maana ya share holding? Embu niambie owners wa Tipper ni nani sasa.
 
Shida ni hii STV haiwezi kuleta mafanikio bila Tanzania kuwemo ndani. We have had experience before na hawa nyangau kuiba hela za EA. Tz will not join STV mpaka tu address fully issues za security na mapato yatokanayo na STV.
Fafanua maana ni juzi tuu hapo kulikuwa na Mkutano Rwanda unaoeleza kwamba visa restrictions zinaleta hasara Africa kuliko faida.

Ni vipi Tanzania itaathirika vs manufaa?
 
The road leading to State House Nairobi
images - 2023-11-05T021113.301.jpeg
images - 2023-11-05T020923.953.jpeg
images - 2023-11-05T020950.044.jpeg

The road leading to State House Dodona
1697061090121.jpg

Look at the environment around that mosque they call State House. Jangwa tupu. They should come to Nairobi for benchmarking
 
Fafanua maana ni juzi tuu hapo kulikuwa na Mkutano Rwanda unaoeleza kwamba visa restrictions zinaleta hasara Africa kuliko faida.

Ni vipi Tanzania itaathirika vs manufaa?
Kwanza we need harmonisation of immigration policies laws and by laws ili kudhibiti watu wanaoingia kwenye EA block kwa usalama wa nchi zetu. Not all visitors come holding candy. Kwenye STV kenya tourist body ndio ina coordinate na ku issue STV while in TZ visa issuance iko under immigration department. Tourist body ya Kenya haina uwezo wa scrutinize applicants wa hizo visa hiyo ni contentious issue ya kwanza.

Pili mgawanyo wa mapato yatokanayo na VISA bado haujakaa sawa bearing in mind kwamba STV hutolewa once at the point of entry regardless of any country you are visiting within the block. Asymmetrical distribution ya mapato bado haijakaa sawa na mifumo ya IT kwenye visa issuance bado haina interoperability ya kusimamia zoezi la STV.

Bila hivi vitu kuwa addressed kwanza I am afraid tutakuja kugombana huko mbeleni na kuwekeana mistrust.
 
We mzee unajua maana ya share holding? Embu niambie owners wa Tipper ni nani sasa.
GoT mara ya mwisho ilikuwa na 51% kama sijakosea! Tanzania with 8 neighbors needs a bigger oil storage farm! Kwahiyo kwa ur shallow thinking unataka kusema ile infrastructure inatosha? Matumizi ya mafuta hayajaongezeka?
 
The road leading to State House Nairobi
View attachment 2821120View attachment 2821124View attachment 2821126
The road leading to State House Dodona
View attachment 2821130
Look at the environment around that mosque they call State House. Jangwa tupu. They should come to Nairobi for benchmarking
I believe landscaping is yet to be completed at the new state house. Also, Dodoma has a semi-arid climate — that’s what defines the area, so it’s ridiculous that you’re mocking a naturally occurring characteristic. I agree that, in terms of architecture, the new building doesn’t fit into its surroundings. But you are being Islamophobic by calling it a mosque! It’s not a mosque. That’s Swahili architecture and it’s absolutely beautiful. The state house in Nairobi was originally the official residence of the governer of British East Africa. It takes features of European architecture, notably its pediment and Roman columns. But the Tanzanian state house is local — the original building is in Dar, a Swahili city. It also fits well in the area, and there’s a lot of trees and meadows.
IMG_8047.jpeg
 
The road leading to State House Nairobi
View attachment 2821120View attachment 2821124View attachment 2821126
The road leading to State House Dodona
View attachment 2821130
Look at the environment around that mosque they call State House. Jangwa tupu. They should come to Nairobi for benchmarking
Nje ya statehouse Nairobi kuna Sego slum mbona huionyeshi?

 
Back
Top Bottom