ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 82,418
- 88,511
Next time nitaacha kukurupuka mtukufu mwenyekiti. Hii formula ya 5-4-1 ndio nimeanza kuielewa. Kule kwetu tanga tunamsemo wetu wenyewe mtu anapopata kibonde tunampa motisha kwa kumwambia "wataktubu kamaa taraha" 🤣 yani "jipigie uwezavyo wewe" 🤣🤣🤣Yani usingefanya haraka kumjibu sahvi angekua anapepea kipumulio 😅😅😅
Hata usijali ndugu mjumbe 😅😅😅Next time nitaacha kukurupuka mtukufu mwenyekiti. Hii formula ya 5-4-1 ndio nimeanza kuielewa. Kule kwetu tanga tunamsemo wetu wenyewe mtu anapopata kibonde tunasempa motisha kwa kumwambia "wataktubu kamaa taraha" 🤣 yani "jipigie uwezavyo wewe" 🤣🤣🤣
Largest port in East and Central Africa!!, No one in the East Africa Indian Ocean coast can beat Mombasa except DurbanMombasa is the second most developed city in East Africa after NairobiView attachment 2815207
Haka kaCBD ya gohrofa tano kando ya barabara haijawai ongezwa maghorofa. Hata Eastleigh na South C zikona ghorofa mingi kuliko hii CBD bandia ya ghorofa tano. 😂 😂 😂 😂
Hata mimi nashangaa nasema nini na mtu anatoka nchi inasoma number yetu kwenye FIFA ranking na ni mteja wetu wa jadiSiongei na mtu anayetoka nchi isiyokuwa na ligi ya mpira wa miguu.
WE WA NAROKHata mimi nashangaa nasema nini na mtu anatoka nchi inasoma number yetu kwenye FIFA ranking na ni mteja wetu wa jadi
Mkuu usijali mbwa anae karibia kufa hutakiwi kumsogelea ata kung’ata mfe wote 😎😎😎View attachment 2816807
Huyu jamaa ana wivu sana na Tanzania, Kila anayoweka kuhusu Tanzania lazina aihusishe na kitu kibaya. Hafanyi hivyo kwa Kenya wala nchin nyingine za Afrika.
Reminds me of the kindibwi story..🤣🤣🤣Hiyo ni mitaro kijana.
Narok bado ni Kenya so huenda niko huko. Si TandaleWE WA NAROK