NDINDA
Platinum Member
- Apr 4, 2011
- 10,726
- 49,572
Huu mtaa wa Central Bank yetu haukamatiki wala hutakaa ufanane na kitu chochote cha TOPESTAN, Zingatia zile pavements kutoka Garden avenue, Sokoine drive, Mitaa ya Bunge pale hadi kuja kukutana na BRT lanes huku Kivukoni Front. Huwezi fananisha na hiyo kutu ya debe😂😂😂.Mana naonaga jamaa kunyans wakipost kila siku hii Haile Selassie avenue. Kumbe ndio kamtaa ka central bank yao 🤣🤣🤣.. nilitaka na mimi kuona more pictures za mitaa yetu ya central bank. I'm sure hii ni joke tu 👇View attachment 2808442..