Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Region ya kisenge sana hii, can you imagine region nzima hakuna electrified railway, hakuna BRT wala approved stadium by CAF na wala hakuna representative wa CAF tournament itakayofanyika mwakani, hii region imelaaniwa wallahi, watanzania tuna kila sababu ya kutojihusisha na hii region ya kipuuzi tusije laaniwa na sisi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Wacha sisi Tz tuendelee kuwa hapa EA ili tuwe kama kioo cha wao kijitazama na ku up their game.
 
Utapingana na ukweli mpaka lini? Kila siku tuna share articles zinazotuweka mbele yenu kwa mambo yote hayo aliyotaja coodip1 ifike wakati accept truth zen move on hutakufa.
Hajawahi toka nje ya Mukuru kwa Njenga huyo achana nae akija kushtuka wanapakana na first world aka Western Europe na hapo mipaka yote tutakuwa tumeshapiga electric fence na surveillance cameras.
 
Kilimanjaro is best seen from Kenya!! 🥰
20231101_154332.jpg
20231101_154143.jpg
 
Show me any news placing tanzania ahead of Kenya on financial services sector

Show me any news placing Tanzania ahead of Kenya in the aviation industry

Show me any news placing Tanzania ahead of Kenya in ports and port operations
Show me any news article placing Tanzania ahead of Kenya in power generation and usage

Haya ni baadhi ya mambo mwenzako alisema Tanzania is building her modern economy on.

Ukijubu hayo maswali then we'll start to have a conversation
Kwani wewe hujui Tanzania inaongoza hapa EA kwa financial inclusion na pia financial diversity.
 
Hakuna bomba litatumika bila kufanyiwa coating Tanzania Coating Plant located at the pipeline’s midpoint

Kutoa bomba Mombasa kulileta mpaka Nzega kwenye coating facility ni umbali zaidi ya kilometers 200 tofauti na kutoa Tanga to Nzega

View attachment 2800285

View attachment 2800280
Mombasa hakuna logistics bora za kupokea mzigo huu wa pipeline. Through Tanga port mizigo itasafirishwa na reli ambayo inapita along the pipeline route hence easy and fast implementation of the project with minimal cost compared to Mombasa route plus pipeline coating facility ipo Nzega zile pipeline za Ugandan section zItasafirishwa from Nzega by train to Mwanza port for onward shipping to Ports in Uganda.

Kunyans have missed the boat on EACOPP😁
 
Tungeweza kuwasaidia kwa kuunganisha SGR yao na yetu lakini shida yao sio eco friendly itakuwa inamwaga diesel along our tracks na kuchafua overhead cables zetu na moshi wa masizi hivyo kupelekea kuathiri electrical contact kwenye catenary 😁.
Pia our standards ziko tofauti na zao kwenye height ya coupling na maeneo mengine ikiharibika itakuwa shida kuwavuta.
Afadhali hata ingekua SGR yenye tija labda modern one, wameenda kuletewa train za 100 yrs ago na wao wanashangilia 🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom