Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Anyways mimi ni moja kati ya waumini wakubwa wanaopenda kujua nini kinaendelea katika nchi zingine Africa, juzi nikaiona hii South-North Algerian highway 6 lanes road with the total length of 2000km .. it includes tunnel which stretches 9.6 km and 2.9km road bridge. 👇
chiffa-berouaghia-autoroute-600x264.jpg
887994585a386c903b5fdf418129f90f_M.jpg
View attachment 8493697c-fe90-48b6-94c5-015adfac7ffc.jpg
d55da9d12bf2432592948113a9122fba(0).png
.. kuna vinchi nadhani visubiri tu gidipii iwataje above others lakini ni ukweli kwamba havijiwezi. 🤣🤣
 
Sisi East Africa ni jokers tu wakuu. Tunavyoongea hivi sasa there are five massive housing projects underway in Algeria. Ukiachana na DODOMA new gvt city hakuna project yoyote meaningful enye ipo hapa EA yenye uwekezaji unaonekana kwa macho. Take a look 👇
View: https://youtu.be/waaNWLMfUdw?si=w4ScjDMIaZfPAI0L. Northerners subirie jidipii figures update mjifariji.. yo this is real development.
 
Kweli ndugu Nagai Marathon ni mbio uchwara tu! Siyo kila mbio ya nje ni kujisifia. Mbio za kutamba ni hizo world major marathons Berlin, Boston, Chicago, London, New York & Tokyo na Olympic, sisi pamoja na kuwa na makabila yenye genetics za long distance running Iraqw na wasingida bado wazembe.
ati nagai marathon....lol.we only do london boston berlin and chicago
 
Thank you for responding intelligently….. now that’s how you debate….good question…. But just wait you will see… Kenya 🇰🇪 is not that broke…plus the private sector is loaded in liquid cash...look at the construction and banking industry…this might be a PPP project…We just need to put our economic house in order…
ati umesema PPP? Which ppp? Who will invest in a project that won’t make any business sense ?
Yaani China aweke pesa kwenye stadium that will turn into ghost after the Afcon matches ?
 
ati umesema PPP? Which ppp? Who will invest in a project that won’t make any business sense ?
Yaani China aweke pesa kwenye stadium that will turn into ghost after the Afcon matches ?
Instead of focussing on your side and wondering if your proposed stadiums will be built, you're still obsessed with Kenya.
 
ati umesema PPP? Which ppp? Who will invest in a project that won’t make any business sense ?
Yaani China aweke pesa kwenye stadium that will turn into ghost after the Afcon matches ?
You think only Chinese can invest?… they paved the way for the model with the expressway but trust me we learn from the best…
 
Back
Top Bottom