The Other Delo
JF-Expert Member
- Sep 12, 2023
- 1,066
- 1,182
Ndio hizi render zingineThe other delo 🤣🤣🤣 ulikula kichapo ukakimbia saivi umerudi na mwendo wa render mzee wangu 🤣
Ndio hizi render zingineThe other delo 🤣🤣🤣 ulikula kichapo ukakimbia saivi umerudi na mwendo wa render mzee wangu 🤣
Sisi tunajenga jiji Dodoma's Government city from the scratch! Nyie endeleeni kujenga vijengo uchwara hapo Nairobi wakati siye tunaboresha miundombinu BRT phase IV sasa hapo Dar na JNIA's Terminal II inafanyiwa modernization! isitoshe Kawe project is ongoing!Ebu leteni yenu moja zaidi ya 20 floors mnayojenga sasa hivi 😆😆😆😆😆
🤣🤣🤣 The other delo.
Sasa ghorofa kama hizi za 20fl ni za kupost humu? Dar ziko nyingi sana zinajengwa lakini ni vitu vya kawaida huku. Vitu kama 30fl na kuendelea afadhali lakini sio 20flYou wanted accompanied with the actual building? Ndio hii hapa 👇
View attachment 2782443
View attachment 2782440
Ila jitahidini wasijue kinachoendelea😅Kwahyo mapema kesho mafundi wanaingia site mzee 🔥🔥🔥
Wao ndoto za mchana ndio kipaumbele chao🤣🤣🤣🤣 The other delo.
Ile ilikua ahadi ya uchaguzi 😅😅😅😅Rome was not built in a day. Wao sasa walitaka wajenge BRT kwa siku moja ndio maana tukaona zile paint works 🤣🤣🤣
PaBy the time AFCON comes around, with the planned horizontal infrastructure upgrades, Nairobi will look like a major city in the US….. visitors will be swept on their feet… whereas on the other side in the southern neighbor, visitors will be shocked by the Uswaziland especially from the Airport all the way to Mkapa stadium surroundings,. There are no plans to change that…. Yet around soon to be constructed Talanta stadium, private sector has plans to make that area first world country…. Anyone seen the new Ngong road area master plan?… please post it here… and someone thinks CAF won’t notice that… Finals ni Nairobi, wapende wasipende…even the next World Cup iko Canada, US and Mexico… but the finals ziko US despite Mexico being a better football nation…. Economic power matters…. Period!
Pang'a ng'aBy the time AFCON comes around, with the planned horizontal infrastructure upgrades, Nairobi will look like a major city in the US….. visitors will be swept on their feet… whereas on the other side in the southern neighbor, visitors will be shocked by the Uswaziland especially from the Airport all the way to Mkapa stadium surroundings,. There are no plans to change that…. Yet around soon to be constructed Talanta stadium, private sector has plans to make that area first world country…. Anyone seen the new Ngong road area master plan?… please post it here… and someone thinks CAF won’t notice that… Finals ni Nairobi, wapende wasipende…even the next World Cup iko Canada, US and Mexico… but the finals ziko US despite Mexico being a better football nation…. Economic power matters…. Period!
Sasa kwaakili yako finyu,kila mtu akisema apost ujenzi unaoendelea kwenye nchi yake ama jiji unadhani kutatosha humu,Majengo yanajegwa mengi sana hata hatujui majina yao. Tafuta footage ya Kilimani, Eastleigh, Westlands, South C, Pangani nk ujionee. Tukianza kuweka every 20+ floor building that is under construction we will clog the servers of this website
Unaongelea Nairobi tu, wakati sisi tuna Arusha, Zanzibar, Dodoma na Mwanza as major cities! Nairobi yenyewe haifikii Zanzibar kwa accomodation facilities!By the time AFCON comes around, with the planned horizontal infrastructure upgrades, Nairobi will look like a major city in the US….. visitors will be swept on their feet… whereas on the other side in the southern neighbor, visitors will be shocked by the Uswaziland especially from the Airport all the way to Mkapa stadium surroundings,. There are no plans to change that…. Yet around soon to be constructed Talanta stadium, private sector has plans to make that area first world country…. Anyone seen the new Ngong road area master plan?… please post it here… and someone thinks CAF won’t notice that… Finals ni Nairobi, wapende wasipende…even the next World Cup iko Canada, US and Mexico… but the finals ziko US despite Mexico being a better football nation…. Economic power matters…. Period!