Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

You expect it to be played at that old monstrosity that is Benjamin Mukapa stadium?
🤣🤣🤣 Ila Huu ni utahira wa kiwango cha juu kabisa.. sasa mzee unategemea mechi zichezwe kwenye kiwanja chenye hakipo..? U don't have it already.. usifkirie ku host mechi hata moja kwasasa kwasababu hauna uwanja wenye qualifications hata mmoja while Tz tuna viwanja viwili vyenye tayari viko approved
 
Msijifananisha na 🇰🇪 since hamuwezi kutishinda in a match and the record shows… and we are the only country in East and central Africa to win an African soccer trophy… hakuna mwingine…so don’t worry about Italy, worry about your Northern neighbors…🤣🤣😄
Unahitajika pale mathare mental institute ukamalizie tiba sema umekimbilia america na huko bado hawajagundua km una mental disease
 
Ngara west(muranga road) Nairobi
IMG20231011081237.jpg
 
Harambee Stars training in Turkey ahead of the International friendly with Russia
View attachment 2778341View attachment 2778342
Russia is still banned from FIFA just like Kunyaland! This will be mazezeta friendly!
 
Hilo group moja alilowapa kawapendelea sana, inshort ni kwamba hamtoandaa AFCON, this is because you don't have proper infrastructures to support tournament ifanyike kiurahisi, mashabiki wakitaka ku move from one place to another itakuwa ngumu mana usafiri wenu mkuu ni matatu ambao sio rafiki kwa watu civilized, sisi tuna BRT ambapo by 2027 itakuwa phase zote 6 zimekamilika, plus ukarabati wa viwanja vya ndege kila mkoa.

Pili hamna viwanja bora na mpaka sasa serikali yenu haieleweki kama itajenga viwanja ama la, sisi tayari tunafanya marekebisho uwanja wa Mkapa ambao ni approved by CAF lakini tunaukarabati uwe bora zaidi na mnaona nyie wenyewe now tunafunga LED na tayari bajeti ya viwanja viwili vya kisasa ishawekwa plus kiwanja cha Amani Zanzibar tayari kipo kwenye ukarabati mkubwa.

Tatu hali ya usalama huko kwenu iko hovyo sana ukizingatia mtakuwa kwenye uchaguzi ambao asilimia kubwa ya wakenya hawamtaki Ruto including you na Ruto hatotaka kuachia madaraka (he is there to stay), lazima muuwane, so hakuna shabiki atataka kuja huko kwenu akauwawe kizembe.

Vitu kama hivyo ndivyo vinavyonishawishi kuamini kwamba hamtoandaa AFCON hata kwa bahati mbaya, kama unabisha niko nimekaa paleee...
Umesahau kenya mashabiki wa mpira hakuna mashemeji derby tuù watu hawafiki hata 10k
CAF hawawezi kuweka finals mahali msisimko wa mpira hakuna.
 
You expect it to be played at that old monstrosity that is Benjamin Mukapa stadium?
CAF sio wapumbavu waweke finals or opening match in Kenya. CAF wataangalia records za attendances. Wataangalia kiwanja kipi au watu wa nchi gan huwa wanajaza uwanja mara nyingi kuangalia mechi. Kuna factors nyingine nyingi tu wataziconsider kama security, etc..
CAF pia nao wanapenda kupata hela. Saiz hutanielewa na kuona hoja ni dhaifu, ila time will tell.
 
Back
Top Bottom