Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 75,712
- 107,153
BTW ahadi ilikuwa stadium 5 na waliweka picha humu!Mombasa stadium 👇👇
View attachment 2778550
Uhalisia 👇👇🤣🤣🤣🤣🤣🤣View attachment 2778552
BTW ahadi ilikuwa stadium 5 na waliweka picha humu!Mombasa stadium 👇👇
View attachment 2778550
Uhalisia 👇👇🤣🤣🤣🤣🤣🤣View attachment 2778552
inakaa punda!Hii ya pili hapo chini ni treni au ni ngombe?
Ujira wa kubeba box unauchezea kamariðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜wewe mkenya unalaanaIf I win a billion dollars… I would definitely donate $1 million to any uswazi project in Bongo … in good faith…
Nawakumbusha tuu hakuna Rais anasukuma maendelea kama Samia na ni sekta zooote mambo ni 🔥🔥🔥🔥Bi mkubwa pamoja na mapungufu yake ila kwa upande wa kuwapelekea moto kunyalazy bi mkubwa hajatuangusha
Sawa😂CAF sio wapumbavu waweke finals or opening match in Kenya. CAF wataangalia records za attendances. Wataangalia kiwanja kipi au watu wa nchi gan huwa wanajaza uwanja mara nyingi kuangalia mechi. Kuna factors nyingine nyingi tu wataziconsider kama security, etc..
CAF pia nao wanapenda kupata hela. Saiz hutanielewa na kuona hoja ni dhaifu, ila time will tell.
Haya masenge ni mababaishaji, hayana lolote, ni uongo uongo tu, yamesahau kwamba dunia ya sasa humuongopei mtu.umesahau JKIA greenfield terminal!
![]()
Tukapewa this 👇👇👇as end product!
![]()
halafu kuna nairobi Greenpark bus terminal
render
![]()
Final product! 👇👇👇👇😆😆😆😆
![]()
Saahii wanatembelea render ya Talanta stadium! pumbavu mwaiofhawaii alias mwai sadima dickson wa ukoo wa sadima ana-post humu render kila siku!
Masenge hayo, hayana stadium ya maana hata moja.BTW ahadi ilikuwa stadium 5 na waliweka picha humu!
Nawakumbusha tuu hakuna Rais anasukuma maendelea kama Samia na ni sekta zooote mambo ni 🔥🔥🔥🔥
View: https://twitter.com/NuktaTanzania/status/1712038678271341000?t=4gMCUT5cfiJId3VoUl_arw&s=19
Au siyo 😂😂Wacha ujinga wewe, hakuna rais mwenye maono na aliyeanzisha Tanzania mpya zaidi ya Magufuli na ndio maana huyo Samia wako anasema kazi iendelee, maana yake anaendeleza aliyoacha mtangulizi wake, hata ukinuna huwezi kubadili nyekundu kuwa njano.
Chinese tupu!!Mim sio fan wa mabus
Ila ngoja nizipost hizi. Unaambiwa hizi zote zimetengenezwa kunyan land
View attachment 2778578View attachment 2778579
wapi chinese buses Kunyaland? Kama si isuzu lorry chassis?Chinese tupu!!
Na unaona ni sifa!!!
Kuzaliwa Africa ni laana naona.